miss tz 2007 richa adhia akionesha utamaduni wetu leo huko china ikiwa ni moja ya harakati za kugombea taji la miss world

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 13 mpaka sasa

  1. Wadau sasa hapo Richa alikuwa anacheza ngoma au anaigiza?? Maana kama ni mavazi ya kawaida tu sijui ni sehemu gani ya Tanzania ambapo tunavaa vibwebwe vya namna hiyo. Mi natatizika kidogo juu ya namna tunavyoweza kuonesha utamaduni wa Tanzania.

    ReplyDelete
  2. wanapendeza, Richa I love you.

    ReplyDelete
  3. she looks ridiculous.

    ReplyDelete
  4. We anony 11:26:00 PM ET, jiheshimu tafadhali, nina wasiwasi na uraia wako km hujui hayo ni mavazi ya asili ya kabila gani???!! nakujua, km vp bora uondoke leo uende kwenu otherwise natoa taarifa uhamiaji!!! GO RICHA GO BABY...u looks gorgeous!!!!

    ReplyDelete
  5. KAMUA GIRL KAMUA BREEEEED IN AFRICA WASIWASI WENU UKO WAPI...KAMA NI NGOMA ATACHEZA ZA KINYAMWEZI....WANYAMWEZI WENGI WAHINDI SO NO PROBLEMA THERE

    ReplyDelete
  6. Kila kitu na asili yake! Hii inanikumbusha ngoma waliyocheza Mrema na Cisco wakati wa kampeni ya kugombea ubunge wa jimbo la Temeke miaka ya nyuma huku kila mmoja akijivuna kuwa ni mkazi asilia wa Temeke! Richa nawe jaribu kuonyesha kuwa una asili ya ubantu kwa kuicheza ngoma kisawasawa - hata Mrema pamoja na kutokuwa mzaliwa wa Temeke aliweza kushinda ubunge huo!

    ReplyDelete
  7. keep it up!!Richa I love you heaps.

    ReplyDelete
  8. Anonymous wa 11:21 hapo juu kabisa usitatizike na namna ya tunavoweza kuonesha utamaduni wa Tanzania kwani ndio Tanzania yenyewe ilivo ilivo kutokua na utamaduni wakueleweka!
    kesho usije shangaa kumuona mwengine amejipakaa lami mwili mzima kwa lengo la kuonesha utamaduni wa tanzania wakati mwengine kavaa nguo za kimasai ndo kuonesha utamaduni wa tanzania au tenge la kinigeria .....nk!!
    heheheh kazi kweli kweli yangu macho na nchi hii!!!

    ReplyDelete
  9. Mnh, Jamani huyo Richa Hafiki popote!!! Ana tumbo paanaa!!! Yaani features za umiss "F".

    ReplyDelete
  10. ahhhaaa angejivalia SARI ingempendeza nasikia kuiga sio vizuri unatakiwa uwe real sio sasa imekuwaje

    ReplyDelete
  11. Is this a joke or what?hahahahaha

    ReplyDelete
  12. NYIE MNAOPIGA KELELE WOTE HAMNA LOLOTE, KAMA MNAJIAMINI NYIE WAZURI MBONA HAMKUJITOKEZA? WENGINE HAPO MATUMBO YAMEWADONDOKA HADI MAGOTINI LAKINI KAZI KUSEMA KATOTO KA WATU, KAZURI BABU, SEMENI HADI MFE, GO RICHA GOOOO GAL, WE LOVE U, HATA UKIRUDI MTUPU SISI POA TU !! WABONGO MMEZIDI, KASHINDA RICHARD MANENO, RICHA NAYE AKIONYESHA VITUUUZ MANENO, SIJUI MFANYIWE NINI JAMANI!! MTAKUFA NA KIJIBA CHA ROHO!!! WAPUUZI WAKUBWA!!!

    ReplyDelete
  13. Wee anony wa 9:33, wewe ndio kielelezo cha watanzania wasiojua kushindanisha hoja! mtu akihoji kitu tu basi ni kijiba cha roho! hakuna aliyesema kuwa huyo mhindi sio mzuri. ni mzuri wa haja. suala hapa ni Mhindi wa Bara Hindi kuwakilisha Uzuri wa Mbantu wa Afrika, potelea mbali kuwa mababu zake hamsini waliopita wamezaliwa hapa!!
    matokeo yake ndio hayo ya kuonekana kituko kwa waandaaji wanaofahamu fika kuwa Mhindi yake ni Sari na haya mambo ya Vibwaya vya Ukindu yanatoka wapi tena! amkeni, wabongo.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...