Home
Unlabelled
mkrisimasi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hapo ni wapi kaka michuzi pls?
ReplyDeleteHapa FoRODhani mazee.....skonga iko opposite apo,mambo ya caritas na nini..mi nilipita apo 96-99....i really miss dis place.Bro michu ebu ingiaga umo ndani FoRONDO utuwekee at least masnepu tujikumbushe mambo ya salamnadazzz.....Mdau GuRba........
ReplyDeleteNi kweli Kaka Michuzi, mti huo ukiuona tu na maua yake ujue Xmas imekaribia bila kusahau na wale wadudu wanaoitwa "nyenze", Nimewamiss kweli maana huku ukerewe sijawahi kuwaona.
ReplyDeleteNilishasahau huu mti...jamani this is real good. ukitoka tu hivi basi tunajua safari kwa bibi iko njiani....
ReplyDeleteNa wanangu nianze kuwafundisha new tradition snow ikianza safari kwa bibi njiani...jamani tuko mbali huku bongo mara moja kila miaka mitatu....na nikikwambia christmass ya mwisho nimekula bongo 98
Haiongopigi ni kiswahili gani?
ReplyDeleteEheee Anon December 6, 2007 9:07:00 kwanini miaka tisa yote tisa unashindwa kwenda xmas kwenu umejiwasha sio pole sana basi lakini yote maishaaaa
ReplyDeleteHeeee hata kiswahili kigumu kumbe kaka yangu naomba kumweleza huyo hapo juu... 9:25 am. Dar mbali sana kama unaishi USA na ukizingatia tena kama una familia.
ReplyDeleteSio rahisi kuwapandisha wote kwenye pipa kila mwaka. Kweli mara ya mwisho nimekula Christmass 1998 lakini mara ya mwisho kuwa Tanzania mimi ni mwaka jana...but not during Christmas time....nadhani umenielewa...
Kipindi hiki ukiwa kule kunakua na raha fulani na hata mawingu yanakuaga yana rangi tofauti kidogo...but that is according to me....
Heeee hata kiswahili kigumu kumbe kaka yangu naomba kumweleza huyo hapo juu... 9:25 am. Dar mbali sana kama unaishi USA na ukizingatia tena kama una familia.
ReplyDeleteSio rahisi kuwapandisha wote kwenye pipa kila mwaka. Kweli mara ya mwisho nimekula Christmass 1998 lakini mara ya mwisho kuwa Tanzania mimi ni mwaka jana...but not during Christmas time....nadhani umenielewa...
Kipindi hiki ukiwa kule kunakua na raha fulani na hata mawingu yanakuaga yana rangi tofauti kidogo...but that is according to me....