

chuo kikuu cha glasgow caledonian university ni moja ya vyuo ambavyo mheshimiwa nelson mandela aliwahi kupita na kujinyakulia nondo yake tartttiiiiibu. basi pongezi kwa wamatumbi waliobahatika kubeba nondo zao za masters katika chuo hicho, mmoja wao wao ni huyo kijana Mohamed Mashaka (anayepiga konozzz hapo juu) ambaye hivi sasa yupo njia moja kurejea nyumbani kula vumbi...
dah...kweli dunia ni kubwa yani namuonea wivu sana mdau..mi ndo kwanza niko mwaka wa kwanza eti ye amemaliza masters!!! kilichonitia wivu zaidi ni hicho kipengele cha kurudi hom...poa mdau hongera sana waoneshe wala vumbi kuwa elimu ya huku ni bora zaidi kuliko yao!!!!
ReplyDeleteKAKA MICHUZI MBONA UJAENDA KUMPOKEA MDOGO WAKO RICHA NASIKIA WALIKUWA NDUGUZAKE TU SIO VIZURI
ReplyDeleteMashaka, na huyu bibi ndie alikuwa mwajiri wako nini? Mbona ana mashamsham sana, kazi ya kumtunza unaacha lini? Rudi nyumbani, ukisikilizia fedha ya kumlea bibi huyo utakuwa hurudi home, oooohhhhhhh!!!
ReplyDeleteMashaka namfahamu sana, hichi kibibi kilikuwa demu wake.
ReplyDeleteDu safi sana mkuu kwa kukamata nondoz na kuchukua uamuzi wa kurudi nyumbani, Ila kuna kile chuo kikongwe pale Tz ambacho ma baadhi alumni wao wenye mtazamo finyu hudai kwamba kama hukusoma pale basi wewe ni kihiyo. Sasa to prove them wrong, show them the difference kwamba shule siyo kukariri na kulimbikizwa ma assignments kibao bila field excursion na kusumbuana na ma supervisor kwenye ishu ya theses..kisa anataka umnyenyekee au anataka mavituzzz hasa kwa dada zetu!!!!!!!!
ReplyDeleteNaomba kuwakilisha!!
Kaka Mashaka, nakukumbuka sana mdogo wangu. Ulikuwa pale Saint Anthony's Sec School - Mbagala. Hongera sana, labda tudokezee umechukua nondoz za fani gani, maana ulikuwa muongeaji sana. Rafikiyo Khalid yuko wapi siku hizi.
ReplyDeleteKakayo BABAT
mimi ugomvi wangu na wala vumbi ni tabia yao ya kishamba ya kudharau kazi na kuita watu majina ya madharau,kumbe wangejua kazi ni kazi na ni kitu cha kuheshimu sana na wajue ndugu zetu wengi wanaenda shule kwa hizi kazi zetu,wala vumbi msipojifunza kuheshimu kazi mnazofanya hata kama ni ndogo na mnaziona hazifai mjue vumbi na maisha ya tabu bila umeme na maji ni yenu milele,mkiona mitaa ya huku misafi mnafikiri kasafisha CEO au vipi? haya endeleeni kusubiri wote muwe CEOs na kutucheka sisi wabeba box then tuonane baada ya miaka 5 tupeane report...jifunzeni kuheshimu kazi
ReplyDeletewenu mbeba box!
Rudi bwana kama umemaliza kuendelea kubaki huko sio safi kabisa maana hizo box zitakupindisha mgongo bure.waache hao waliokataa shule wabebe mbaka wakome maana hadi kurudi kwao wanaogopa maana watakuwa jobless sasa wewe una cheti chako aah kwa raha zako.congrats bwana i wish I could be you!!!!!!!!! Cheers.
ReplyDeleteMakaratasi hayo babu yangu,yaani ningemapata kama huyu angenipunguzia matatizo yangu yaliyonizonga.
ReplyDeleteWewe Anonymous 8:22 kweli umechoka ndugu yangu unategemea mtu ndio aje akupunguzie matatizo yakoo ooh shauri yako kweli umechoka dunia ya sasa usitegemee hivyo soma ili ujipunguzie matatizo yako mwenyewe na wenyewe siku hizi wajanja bwana hawataki tabu.kwa hiyo kula shule upunguze matatizo yako mwenywe usitegemee mtu asome huko then aje akupunguzie matatizo yako wewe.
ReplyDeleteTehe Tehe nauliza swali mbona wabeba box mnahasira sana?
ReplyDeletehongera sana Mashaka. Kama mhitimu mwenzako wa Mbagala, naona fahari.
ReplyDeleteKaribu nyumbani tujenge taifa
Mimi nikisema na hizi degree za nje wanasema ooo karumekenge pumbavu hukusoma,ok leteni hizo degree zenu hapa bongo, mutaziweka chini na mtaanza upya hapa.Bila mitihani ya kushtukiza mtu hapati kitu bongo. karibu sana vinondo vya nje mje kupambana na Manondo chuo kikuu cha chang'ombe.Haha haa kwi kwi kwi kwi..
ReplyDeletehawa wabeba mabox hawa kweli wanahasira sana hasa hizo degree zao zinapokuwa feki.hahahahahaaa
ReplyDeleteJamani huyo anon hana haja na Mashaka ila ana haja na huyu Bibi wa Kizungu.Amesema huyu Bibi angempunguzia shida zake eti,jamani ndo hivyo mnaishi ulaya?unaweza kumwoa kibibi kama huyu?We dogo unatafuta jela wala sio makaratasi.
ReplyDeleteHONGERA MASHAKA.
ReplyDeleteJamani huyu karumekenge ni mjinga sana na anatia hasira kweli.Kila mtu naemaliza huwa anamcritisize!
Cha kushangaza ni kwamba anajidai yupo bongo, kitu ambacho sio kweli. KARUMEKENGE ANABEBA BOX na tunamfahamu HAYUPO TANZANIA. HE IS TALKING ABOUT HIMSELF!hata mida nayoandika inaonyesha.
ACHA UPUMBAVU KARUMENYOKA UNABOA SANA HUWA NASIKIA KUTAAPIKA NIKIONA JINA LAKO.
Mkuu Karumekenge...sio kila mtu aliyeko nje ana NONDOZZ feki, kama ambavyo si kila mtu pale UD au hata hapo Chang'ombe alifauli mitihani yake kihalali..Stop generalizing for once..OK! Wengine tumesotea NONDOZZ zetu.
ReplyDeletekwenda huko na Vinondo vyenu vya feki. kaaeni huko huko na hivyo vinondo vyenu.Hiyo ni qualification ya kubebea mabox hakuna chochote. Nyie mnakuja kutuibia hapa bongo. Anika hapa degree zenu tuzione kama ni za kweli.
ReplyDeletejamaani ee huyo karumekenge siyo mjinga yeye anataka kujua kama degree feki zinapatikanaje mpeni deal huyu.Lakini kweli degree feki zipo sana tena kwa sana. Je mnazijua Fast track course? unapata degree kwa miezi sita?
ReplyDeleteEti karumekenge Mjinga, mimi mjinga mimi? kwa sababu sina degree ya feki? ok, sawa kama ndiyo hivyo. Leteni tu hizo degree zenu feki na hizo kampuni zenu feki za Richmond. hahahahaa,kwikwikwikwi,feki degree Needed in Bongo
ReplyDeleteMambo Vipi Wala Vumbi?? Aisee nimetoka Bongo juzi watu Wananuka sana VIKWAPA na Midomo. Nawaletea Kontena la Deodorants na Mouthwash.
ReplyDeleteBaadae Basi Wala Vumbi aka Wanuka Midomo aka Wanuka Vikwapa, Umeme umekatika leo? au Maji hakuna?
Vizee vina joto sana wakati wa winter,tetetetete hahahaha!
ReplyDeleteHapa tulitakiwa tumpongeze huyu Mtanzania mwenzetu kwa hatua kubwa aliyopiga mpaka kufikia siku hiyo alipolivaa hilo joho. Personally I don't know him, that said..I give complements where complements are due. MDAU HONGERA KWA KUKAMATA NONDOZ YAKO!
ReplyDeleteI think its time sisi wa-Tanzania tuanze tabia ya kujengana, ku-incourage wengine, kupeana sifa pale inapobidi, na sio kukashifiana na ku-discourage. Wenzetu wanaambiana its OK to try and its OK to fail..sisi hapa huyu mdau kakamata nondozz zake...Kelele tayari mara Nondo feki..mara....a buch of blah blah
Stop hating! Have peace with your own self first and the take this as a challenge.
Sawa sisi bongo tuna nuka vikwapa na nyie je munanuka nini? sema tusikie, watu munafanya kazi masaa 24, Ndani ya chumba mko watu sita. acha kutusagia bongo wewe, Kutanua kwenu mpaka mrudi bongo ndiyo munapa goodtime. acha hiyo.
ReplyDeleteKwa kweli huyo bwege karumekenge inaonekana ana matatizo na watu walioko mtoni sio sisi tuliokunyima visa!!kwi kwi kwi!inaonekana toka ujaribu kuomba ukatoswa basi kila apataye nondo mtoni una mmind mbona viongozi wako hapo bongo wengi watoto wao wanasoma hapa. Pambana nao pia waelimishe kwamba degree za mtoni ni fake acha ushamba unajicholesha mtu wangu, tuliza sasa na learn ku respect kila mtu.
ReplyDeleteNyie wabeba box acheni dharau jamani yaan hiyo kazi mnayoifanya msifikiri ndio mmefika yaan,kumbe hamna lolote lile.vikwapa ina maaana na ndugu zenu mlio waacha huku wananuka vikwapa? mie mwenyewe nipo hapa kwa wabeba box(UK) ila sijaona kitu ambacho kinanifurahisha huku hata chembe yaan nikishachukua nondo zangu tu faster narudi kwetu.no place like home.kwa hiyo watu wote mlio nyumban wala wasiwababaishe hawa hakuna chochote huku zaidi ya stress.
ReplyDeleteNYIE SIJUI WA BOX AU VUMBI....
ReplyDeleteRECEIVE JESUS TODAY AS YOUR SAVIOR.
BOX OR VUMBI IS NOT FOR YOU.God said. PROSPERITY IS YOURS IN JESUS' NAME.
SAY AMEN TO THAT.
Itabidi michuzi uanzishe glob nyingine kwa ajili ya wabeba box na wala vumbi naona hawa beba box mashuhuri wana kilanga kweli kweli.sasa waanzishie glob yao ili wawe wanapeana kubwa kwenye glob yao.sisi tumechoka kuwasikiliza bwana .wanakera sana.
ReplyDeletekaka michuzi aka misupu.
ReplyDeleteushauri wangu kwako wa bure naomba uanze kuburn comment za watu ambao wanaita watu wala vumbi au wabeba boxi.people are turning to be rude and have no respect to each other.sasa hii picha ya mkaka wa watu kupata degree inahusiana vipi na wala vumbi au wabeba boxi sijui watu wanafaulu vipi mitihani.
guys u shud comment according to the pic its self and stop acting like illiterate people with no sense or whatsoever.cheers michuzi
urs miss anonymous
mjoba naona uko na bossi wako,angalau yeye amekusomesha sio kama walala hoi wengine,mungu akubariki urudi home.
ReplyDelete