
NAPENDA KUBANDIKA PICHA HII YA MTO RUVU UINGIAPO BAHARINI KAMA ISHARA YA KUTOA SALAMU ZA MSIMU KWA WADAU WOTE WA GLOBU HII NA KUWATAKIA IDD EL HAJJ NJEMA PAMOJA NA KRISIMASI NA MWAKA MPYA. PIA NAKARIBISHA PICHA NA SALAMU ZA MSIMU TOKA POPOTE DUNIANI ILI KUTAKIANA HERI.
NAWASHUKURU WADAU KWA USHIRIKIANO MNAONIPA KWANI NAJIHISI NINA DENI KILA NIAMKAPO. NAAHIDI KUENDELEZA LIBENEKE KAMA KAWAIDA NA BILA KUCHOKA


Kaka Michuzi,
ReplyDeleteKwa wanajiografia, hii ni zawadi muhimu. Kwa kiingereza mto ukifanya mizunguko ya aina hiyo huwa wanasema "The river is Meandering". Tunashukuru kwa kututoa tongotongo nakutupa zawadi hii halisi.
Merry Xmas
Sawa. Ila mwaka ujao jitahidi UBADILIKE.
ReplyDeleteTabia yako ya kubania koments za watu bila sababu za msingi sio nzuri na haikubaliki kabisa na jamii ya watu waungwana.
ACHA hizo mwaka ujao!
Sawa. Ila mwaka ujao jitahidi UBADILIKE.
ReplyDeleteTabia yako ya kubania koments za watu bila sababu za msingi sio nzuri na haikubaliki kabisa na jamii ya watu waungwana.
ACHA hizo mwaka ujao!
Amaaa!!! huu sio Rufiji???
ReplyDeleteaah hpo kwenye river meander, deposition ya organic materials/debris ikifanyika inatokea Ox bow lake.
ReplyDeleteEid alhaji,X mas & new year njema wadau wote.
Nawatakia afya njema na kila la heri kwenye shughuli zenu.
Tupendane
Nawe pia bro.nice view inanikumbusha kabla babu hajafariki tukienda mashambani msambiazi tulikua tunakatiza mito midogomidogoinayomwagwa na mto ruvu,tope kibao ndala zinatengeneza blocks za tope jekunduuuu raha sana oh Tanzania nchi nzuri sana afrika.
ReplyDeleteshukrani kwa salamu bwana michu ila mie bado nina uchungu na zile dola mia 5 zangu za man utd na arsenal....vipi tenaaa?tulishapangia budget atiiiii
ReplyDeletehalafu michu nshakushtukia watu tukicomment abt lile shindano la arsenal na man utd wazibania comment sasa ndo tujue mambo holaa ama??si utangaze tuu tujue moja?!
ReplyDeletena hii tena utaibania ila ujumbe si umeupata?
Sasa mto huo mbona mchafu? au hii ni hasara ya kukata miti mwituni!!!na kusababisha mmomonyoko wa udongo...simpo sayansi!
ReplyDeleteWewe nanihii hapo juu na River meander zako..hiyo ni Geography ya form one...sasa inatusaidia nini kujua river meander, deposition na ox-bow lake kama hatuwezi hata kuyakinga hayo maji mpaka yanaishia yote baharini? Tunakufaje na ukame na mto mkubwa kama huo unaishia baharini? Nafikiri usomi wako ungekuwa wa maana kama ungezungumzia njia za kukinga hayo maji msichote maji kwa ndoo maili nzima...mshamba wewe...!!
ReplyDelete