
Kwanza ahsante sana kwa kuniunganisha na wadau huko Tz ambao kwa wingi wamejitokeza kwa nia ya urafiki na shule yetu hapa Leicester.
La pili ni kuitikia ombi lako tu:
BWAWA LA MAINI 2
INTER MILAN 0
Kwa dakika zaidi ya 70 Inter walicheza 10, materrazi kadi nyekundu.
sijui ndio mipango ya mcheza kwao hiyo?
Ahsante sana
Mdau, leicester
KHAMIS SAHAL
ALAFU WEWE BROTHER MICHUZI AKA MDAU NAMBA UNO... UNAPENDA SAANA MAREHEMU BWAWA LA MAINI... NADHANI WEWE NI LUNYASI ORIGINALE.
ReplyDeletePOLE SAANA ............ UTAUMIA SAANA NA HUO UPENZI WAKO WA VYEKUNDU.
Sasa kule lesesta shughuli gani yakhe?
ReplyDeleteYakhe,kule lesisesta shughuli gani?nasikia wakati wakosovo wanasafisha magari na kujipatia rizki ya halali,wabongo ndio hivyo...wizi,uporaji n.k.,mie sijafika kule lakini naambiwa tu na jamaa...je kweli?
ReplyDelete