zenji kunazidi kukucha. ukitokea uwanja wa ndege wa eapoti ya hapa mbele kidogo upande wa kushoto kuna bonge la mgahawa unaitwa karibu. msosi bomba na huduma safi na pembeni kuna mfuga farasi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 16 mpaka sasa

  1. SASA NISHAJUA MGAO WA LOWASSA NAWEWE ULIKUWEMO,TUTACHUNGUZA MSHAHARAWAKO NA MATUMIZI NISHAUNDA TUME.

    ReplyDelete
  2. Mhhhh! kaka sijui shughuli zimezidi....Uwanja wa ndege wa Airport...
    kaka gawa ajira hizo,watu wakusaidiye 'ku-verify' vitu kabla hujavirusha hewani.

    ReplyDelete
  3. Michuzi acha kuleta masihara katika utani mambo gani ya uwanja wa ndege wa eapoti.hahahahahaha.Hata hivyo nimependa creativity yako,bro.

    ReplyDelete
  4. Jamani mbona hao farasi wamekonda?lazima warudishwe kwenye mazingira yake ya asili kwani hapo hata hayo maji wanakunywa kutoka mtungi wetu wa Kyela!

    ReplyDelete
  5. fulanazzzzzzzzzzzzzz!!!!!!!! michu ni mie tena..haki vile michu mie nataka nikununulie tshirt mpya hivoo..mana hii kha!!!!!!! au unazo nyingi rangi moja.au ndo mganga kakwambia??

    Mkerwa na fulana ya michu

    ReplyDelete
  6. Anon Monday, February 11, 2008 11:52:00 PM hivi wewe huyo michuzi unayemfundisha Lugha,tatizo nyie wageni mnaoingia kwenye nyumba za watu kwa papara bila kujifunza watu wanavyoishi ndio tatizo hizi ndio lugha za hapa jukwani kwetu

    ReplyDelete
  7. michuzi hiyo fulana siku ya nne sasa hujabadilisha!

    ReplyDelete
  8. Kaka Michuzi
    Kama kawaida katishet nako kalikuwepo.

    ReplyDelete
  9. Ukishakupata msosi kumbe unapewa na kitanda cha kupumzikia hapo hapo.

    ReplyDelete
  10. bro michuzi kweli nami naungana na wadau wa juu mzee ze fulanaaaaaaaaaaz dah! kaka basi uwe japo na matoleo tofauti ya hizo fulanazz...hii utakuwa hauitendei haki imekuwa kama kauka nikuvae!!

    ReplyDelete
  11. We Michu wewe!!Kwanini unataka uadhibiwe kwa dhambi ndogo jamani?ujue hii fulani unaitenda kinyume na haki za mavazi.Siku ya ngapi leo?hainuki kikwapa jamani?
    Inatosha jamani tafadhali ubadilishe au tukubadilishe jina uitwe wa fulana ya mistari.

    ReplyDelete
  12. fulana yako nasikia ni 'water proof' maana hailowi na in case ukichelewa kuamka yenyewe inakuamsha, na uwezi kuacha kuivaa maana nayo inahitaji kupunga hewa as in kupunga hewa... in short hii fulana ni... subiri kidogo narudi sasahivi!!

    ReplyDelete
  13. JAMANI WABONGO TUNA MATATIZO GANI? BRO MICHUZI SIO MJINGA WALA MSHAMBA KIASI HICHO. ANAPOVAA HIYO T-SHIRT KILA MARA, ANAJUA ATAWAKERA WALE MLIO NA ISSUE NA HIYO FULANA YAKE NDIO MAANA ANAWAPA CHA KUSEMA SIO KWAMBA HANA T-SHIRT ZINGINE. NA WALE MNAOJIDAI KUMKOSOA LUGHA YAKE,ANAWAPIMA NYIE MABWEGE MNAOFIKIRIA MNAJUA SANA. TATIZO NI KWAMBA, TUTABAKI TUNAMSAGIA NA VAZI AU LUGHA YAKE LAKINI WALA HANA SHIDA YEYE ANAENDELEA NA MAISHA YAKE. POOR US.

    ReplyDelete
  14. Ah1 michu unanikumbusha enzi zile mambo ya semedari na besera,hicho kitanda wazee wetu ndo walikua wakilalia na godoro la usumba au usufi,huku mto na huku mto katikati kipepeo cha ukindu kimeandikwa nienzi nikuenzi nikuonyeshe mapenzi, kisha sisi besera na teremka tukaze wale wenzangu wanoyajua mambo ya zao la minazi na matumizi yake wananipata zaidi, ila siku hizi hivyo vitanda vya kitamaduni wameviboresha vinavutia sana

    ReplyDelete
  15. Nimewapenda hao farasi manyoa yao yanang'aa vizuri,pamoja wanaonekana hawalishwi vizuri.

    ReplyDelete
  16. ISSA LIKIZO INAENDELEAJE MZEE !!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...