HAYA TENA WADAU, ULE MUDA TULIOKUWA TUNAUSUBIRIA UMEWADIA. WAKATI WOWOTE KUANZIA SASA MOSHI WA KIJANI UTAFUKA HUKO DODOMA. NA TUKAE MKAO WA KULA...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 12 mpaka sasa

  1. Tunasubiri kwa hamu kusikia ya huko Dodoma

    ReplyDelete
  2. Ehee kaka michu tuambie basi nani kapenya na nani kapejwa? mi nimeshasubiri mpaka naskia tumbo joto.
    Wallahi sikutegemea kama iko siku nami nitakuwa juu juu kwa mambo ya siasa lakini si unajua tena, mafisadi hao wametufanya tufatilie bwahahahahaa

    ReplyDelete
  3. Leta mambo anko michuzi,tunakufahamu wewe ni mwana-CCM namba moja.Unajua michuzi nimekufahamu zamani enzi hizo tukiwa na magazeti za Uhuru,Mzalendo na Daily news(Mfanyakazi iko wapi???).Nilikuwa mdogo enzi hizo.

    ReplyDelete
  4. Mvumilivu hula mbivu. Baraza lingine likitangazwa nami nitakuwepo.

    ReplyDelete
  5. tunakutegemea kwa majina ya wizara na mawaziri tupo mtandaoni

    Robert Mujuni

    ReplyDelete
  6. Umeniacha anganimoshi wa kijani ndio nini wanakivillages nisaidieni!!!!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  7. Michuzi-- Nachelewa ngoja nikapige BOX. Baraza likitoka nibeep ASAP.

    Ni wako Bi-kidude

    ReplyDelete
  8. michuzi hata jina moja moja basi mwe!leo kazi hasifanyiki huku ughaibuni

    ReplyDelete
  9. Hapana Mr michuzi ni moshi mwekundu ndio unategemea kufuka lakini nafahamu hakutakuwa na kipya kwani rais JK hana la kufanya na hatuwezi kumlaumu kwani viongozi wa CCM ni walewale na hana chagua kubwa la kuchagua zaidi ya wabunge wake walewale ambao wengi ni mafisadi na wala rushwa na vihiyo na wengi wao wasio heshimu hata hilo bunge lao kwa kulala usingizi wakati bunge linaendelea,sasa wananchi wamewachagua kulala au kuwatetea??????? Bado tunakazi kubwa

    ReplyDelete
  10. Bado kazi tunayo, hasa afya barabara na makazi

    ReplyDelete
  11. HAKUNA LA MAANA SANA ALILOLIFANAY HUYU MHESHIMIWA RAIS.
    KWANI ANAMUOGOPA MAGUFULI MBONA ANAZIDI KUMSUKUMIZA KUSIKO FAA WAKATI HAKUNA MTANZANIA ASIEJUA UFANISI WAKE KATIKA UJENZI? SASA MIFUGO ANAFATA NINI?
    MAMBO BADO.

    ReplyDelete
  12. HAKUNA JIPYA!
    MAGUFULI AMEMPELEKA WAPI?
    ANAOGOPA KIVULI?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...