Ndugu watanzania wenzangu,
Kwa niaba ya dada yetu Diana Thamage Kibodya, familia yote ya Kibodya, ndugu, jamaa na marafiki,tunauchungu mkubwa moyoni kuwatangazia kuwa Mama yake mzazi wa Diana Kibodya amefariki dunia huko South Africa.
Tunawaomba wanajumuia wote mjumuike na wenzetu kwa hali na mali, katika> wakati huu mgumu wa maombolezo. Marehemu Martha Thamage alikuwa na umri wa miaka 71.
Diana anategemea kwenda South Africa haraka iwezekanavyo ili akawahi mazishi, na mnaweza kuwasiliana nae kumpa pole yeye mwenyewe, simu ya nyumbani 413-782-6310, au wasiliana na ndugu yetu Isaac Kibodya simu 413-219-1153, kwa niaba ya wanandugu wote.
Tunawaomba wanajumuia wote tuwakumbuke wenzetu katika maombi, na kama ilivyo kawaida yetu kusaidiana katika kila hali wakati wa msiba mzito kama huu.
Mwenyezi Mungu amjalie marehemu mama, alale mahali pepa peponi, amina.> Stephen Tomi.
Pole sana Dada Diana. May you Beloved mother rest in eternal peace.
ReplyDeleteSASA NI WA SOUTH AU WABONGO MBONA UMESEMA WANASAFARI KWENDA SOUTH KWENYE MSIBA
ReplyDelete