Rais Jakaya Mrisho Kikwete anatarajia kutangaza Baraza la Mawaziri kesho - Jumanne (12/02/2008) saa 4.00 asubuhi katika Ikulu Ndogo ya Chamwino, Dodoma.
Wahariri/Waandishi/Wapiga picha wawe wamewasili ifikapo saa 3.00 asubuhi, na wale wenye waandishi wao Dodoma wawaelekeze vyema ili wazingatie muda.
Vyombo vya Televisheni vinavyohitaji kutafuta signals na kuweka vyombo vyao sawa wanaweza kuja kuviweka leo jioni au kesho mapema asubuhi pale Chamwino. Tafadhali TVs ziweke scrolling message ili wananchi waelewe pia.
Wale wote watakaochelewa kufika hawataruhusiwa kuingia pindi Rais akishaingia.
Tunaomba tushirikiane kufanikisha kazi.
Ahsante na karibuni.
P. Kibanga
MHRM
Ikulu, Chamwino
DODOMA.
11/02/2008
Wahariri/Waandishi/Wapiga picha wawe wamewasili ifikapo saa 3.00 asubuhi, na wale wenye waandishi wao Dodoma wawaelekeze vyema ili wazingatie muda.
Vyombo vya Televisheni vinavyohitaji kutafuta signals na kuweka vyombo vyao sawa wanaweza kuja kuviweka leo jioni au kesho mapema asubuhi pale Chamwino. Tafadhali TVs ziweke scrolling message ili wananchi waelewe pia.
Wale wote watakaochelewa kufika hawataruhusiwa kuingia pindi Rais akishaingia.
Tunaomba tushirikiane kufanikisha kazi.
Ahsante na karibuni.
P. Kibanga
MHRM
Ikulu, Chamwino
DODOMA.
11/02/2008
Ndio mzee
ReplyDeleteMichu mwambie da Premi siku nyingine afikirie muda angalau na sisi wa ughaibuni tupate nyuzi on taimu.
ReplyDeleteKwa mtaji huu kesho ntaamka habari zishadoda sisi wa ughaibuni ndi wahitaji habari zaidi!
Bw.Michu je Unahabari kuwa Mzee wetu wa Itikadi(Kingunge) naye kaamua Kustaafu?
ReplyDelete