Twanga pepeta bendi yenye wapenzi wengi mjini Muscat kuliko bendi nyingine yeyote kutoka bara la Africa, inaendelea kutingisha jiji la Muscat kwa style ya pekee katika sherehe za kila mwaka zinazofanyika mjini Muscat ambazo hujulikana kwa jina la “MUSCAT FESTIVAL”
Bendi hiyo ambayo hufanya maonyesho yake kila siku katika “Muscat Festival” imekuwa kivutio kikubwa, watu hujaa mpaka wengine kukosa pa kukaa.
Mpiga gita la bezi Jojo Jumanne nae amejipatia umaarufu mkubwa, kwa kutaniwa kila siku kuwa ni Mrufiji wa kwanza kuja Muscat.
Twanga wanategemewa kumaliza shoo ya mwisho siku ya Jumamosi na Jumapili wanarudi Tanzania
Mdau Fadhili na Muscat.
Bendi hiyo ambayo hufanya maonyesho yake kila siku katika “Muscat Festival” imekuwa kivutio kikubwa, watu hujaa mpaka wengine kukosa pa kukaa.
Mpiga gita la bezi Jojo Jumanne nae amejipatia umaarufu mkubwa, kwa kutaniwa kila siku kuwa ni Mrufiji wa kwanza kuja Muscat.
Twanga wanategemewa kumaliza shoo ya mwisho siku ya Jumamosi na Jumapili wanarudi Tanzania
Mdau Fadhili na Muscat.
Nisikia LOWASSA kafariki hivi ni kweli?
ReplyDeleteSasa wewe Anony,pamoja na kumuombea mabaya huyo Lowasa, hapa penye habari ya Twanga Pepeta wakiwa Muscat hiyo habari ya kifo inaingilia wapi sasa?. Watu wengine Bwana.
ReplyDeletePoa twanga tunawafagilia na hiyo ziara yenu ya kwenye MUSCAT FESTIVAL. Bongo wana wa miss
wawa twanga mnakandamiza kibara twende kazi
ReplyDeleteEmbu huyo mdau anaejiita Fadhili atuletee picha za hao mashabiki tuwaone. Asitufunge kamba hapa, pengine wanatumbuiza viti huko.
ReplyDelete