Home
Unlabelled
ubungo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
hii picha bomba mkuu wangu cheers na sisi wadau wa mabli tunaweza angalau kujidai na jiji letu , ila tu nimegundua hapa ktk hii picha jinsi watembea kwa miguu wasivyoheshimu alama za vivuko barabarani na hata zile sehemu za watembea kwa miguu walizotengewa pia hawazijali na ndio maana hawishi kugongwa kila siku..............
ReplyDeleteJamani panaonekana vurugu na ghasia tu...kila kitu kiholela,vuka nivuke na huyo punda milia mbona haheshimiwi???
ReplyDeleteHiyo inayoonekana kwa upande wa nyuma wa ilo gorofa ni smog? Wana mazingira mnasemaje hapa? Mbona hatujasikia mkitoa tamko?
ReplyDeleteBarabara ni nzuri mie kinachonichafua ni hiyo mitaro pembeni.
ReplyDeletewe anony 4:00, watu wanatafuta maisha sio ghasia wanarecover hela za epa na rich
ReplyDeletemichu kumbe bongo wezi ?yale majumba ya watu ya marekani mmeyachukua kiuchawi halafu mnamsema oooooooooh mjomba usama kayapiga kumbe mmeyachukua kimazingaombwe kisha mmeyaweka bongo ! nimewashtukia nyiye
ReplyDeletewadau naoma mnisaidie kitu kimoja naomba mnieleze ni maeneo gani ya jiji la Dar yapo magharibi,mashariki,kaskazini-magharibi,kaskazini-mashariki,kusini-mashariki,kusini-magharibi.Najuwa maeneo ya ubungo,kimara,mwenge yapo kaskazini na maeneo ya mbagala,uwanja wa ndege,gongo la mboto yapo kusini.Sijui kama nipo "very sahihi" ama nachanganya.Nasema hivi maana majiji mengi duniani yanatambulika kwa kutumia Dira(West,east,north,south etc)Lakini The great city of ours tupo kivyetu vyetu.Dont gemme wrong I like it.It's unique.
ReplyDelete