Home
Unlabelled
wadau watalii kwa watani wa jadi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Samahani Bwana Michuzi, naomba kujua tofauti ya BAKOLA na BAKORA katika kuzungumza au kuandika kiswahili sanifu.
ReplyDeleteBAKORA ni kifimbo cheza BAKOLA Mmh???
ReplyDeletelooh jamani wabongo tumezidi yani kila tusikiacho tunakimbilia kwenda kuhakikisha kama kweli au si kweli,hala hala tu msije pigwa mapanga na nyie maana wanaweza wahisi ni wakenya pia.
ReplyDeletekaka John angalia mambo ya ndemba hadi kenya??kuwa makini na eldoret au ushapata mafunzo ya karate kwa Ras benny..any way thanks for concern.we have to keep our heads up...igax for shizleeeee!!!
ReplyDeleteDuh we john mnamba hako ka t-shirt kako kana hirizi nini?
ReplyDeletehubadilishagi hata siku moja mzee, toka enzi za mlimani mwaka 2004 mpaka picha zako zote za zenj hako hako na umeenda nako mpaka nairobi..
Noma kijana hhahahaha
We nimekukamata hako ka-t-shirt nimekanunua mwaka jana, hiyo usemayo ya mwaka 2004 labda umechanganya madawa mtu wangu.
ReplyDelete