Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Michuzi, mbona bi. Kidude analalamika kuwa jamaa wa SAUTI ya BUSARA wametia ndani mshiko wake?? Embu tupashe wana sauti tusikie!!

    ReplyDelete
  2. Aaaahhhh misupu unanikumbusha Zenji.Nimeondoka huko bwana kitambo.Safi sana na Zenji ipo juu kwani huku Bondeni watu wanaifagilia sana.Mungu ibariki Tanzania,Mungu ibariki Zenji.

    ReplyDelete
  3. Nimependa sana hiyo picha,hakina umeipiga vema na madhari ni mazuri sana.

    Yaani mtu ambaye hajawi kufika zenj basi anaweza kufikiri zenj tambarare..kumbe...nenda ujionee asilimia 70 libeneke lake...

    ReplyDelete
  4. Kumbe hilo ndio bwawa la maini!

    ReplyDelete
  5. Michu hongera kwa kazi nzuri kuwahamasisha wadau watamani kwenda kujionea wenyewe Zenjy kunapendeza, vipi ulifika sehemu inaitwa kaburi kikombe?(mji mpya)ukipata wasaa wa kuzuru tena Zenjybari pita utupatie picha za mitaa hiyo panafananaje, tumechoka na mji mkuukuu(ngome kongwe)Au tuletee picha za kuleee sebuleni(amani) nyumba za wazee bado wanawaweka kwenye lile lisebule au wamewarekebishia kidogo
    mazingira .Nakumbuka maneno ya mzee RUKHSA alipenda sema "ZANZIBAR NI NJEMA ANAETAKA NA AJE"

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...