
KWA MUJIBU WA HABARI HIZO MAREHEMU MLAY ALIKUTWA NA MAUTI USIKU WA KUAMKIA LEO MAJIRA YA SAA TATU HAPA JIJINI DAR KUTOKANA NA KUSUMBULIWA NA BP PAMOJA NA KISUKARI.
MAREHEMU MLAY ALIWAHI KUWA BINGWA WA TAIFA WA NDONDI UZITO WA JUU AKIWA NA KLABU YA UHAMIAJIA NA ALIWAHI KULIWAKILISHA TAIFA KATIKA MICHUANO MBALIMBALI NDANI NA NJE YA NCHI.
MIPANGO YA MAZISHI INAFANYIKA NYUMBANI KWAKE MANZESE FRIENDS CORNER NA HABARI ZAIDI TUTAENDELEA KUFAHAMISHANA KADRI ZINAVYOKUJA.
Wadau wataniwia radhi kwa kusema ivi...huyu mshua nilipomuona first time weight yake iliniogopesha sana, alikuwa mwanamichezo kwanini alijiachia namna hiyo??? RIP GATSON, mbele yako nyuma yetu
ReplyDeletemarehemu alinisaidia kupata paspotrt yangu ya kwanza,alikuwa mtu wa watu sana miaka ya 80-90 pale uhamiaji,michuzi nazani ujasahau kwanba alikuwa akija pia ymca enzi zako ukitupiga picha miaka ya 86...na wakati tukicheza volleball ymca na akina LiliAN alikuwanshabiki wetu sana. ampumzike kwa hamani...mdau st albano...00316
ReplyDeleteMichuzi hii blog yako sasa imekuwa Sehemu ya kutangaza vifo tuuu. Embu punguza matangazo ya huzuni. Hii si sehemu ya kutangaza vifo. Tupe mamboya furaha.
ReplyDeleteI wanted to offer my condolences on the passing of Gatson Mlay to all who know him and all members of Tanzania Boxing Federation(TBF), esp its President Mr Mwitanga and his family. I know that his passing is a big loss for you and Tanzania. I know the upcoming months will be difficult for all of you, but know that our thoughts are with you during this difficult time. Mungu aiweke roho ya marehemu mahala pema peponi.Amina!
ReplyDeleteWE MDAU WA 2:17 UNAHITAJI MATIBABU YA AKILI, KWANI NANI KAKWAMBIA MAISHA SIKU ZOTE NI FURAHA BILA HUZUNI!!!!!!!, HIVI UMESHAWAHI KUFIWA NA MTU WAKO WA KARIBU WEWE/, AU HATA JIRANI TU SIO LAZIMA MTU UMJUE ANYWAY.....PUMBA KABISA WEWE. RIP MLAY....
ReplyDeleteMDAU SCOTLAND
wanted to offer my condolences on the passing of Gatson Mlay to all who know him and all members of Tanzania Boxing Federation(TBF), esp its President Mr Mwitanga and his family. I know that his passing is a big loss for you and Tanzania. I know the upcoming months will be difficult for all of you, but know that our thoughts are with you during this difficult time. Mungu aiweke roho ya marehemu mahala pema peponi.Amina!
ReplyDeleteNapenda kuwapa pole wafiwa. Ila jamani tuangalie afya zetu. Unene ni ugonjwa...mola alitoa na mola ametwaa jina la bwana lihimidiwe. Amen
ReplyDeletePoleni sana wafiwa pamoja na wadau wote wapenda Ndondi ni msiba wetu sote Tunamwombea Mungu amuweke mahali panapo stahili kutokana na matendo yake AMINA
ReplyDelete(From B)
Michuzi naungana na mdau hapo juu , kwamba hii Blong imekuwa ya matangazo ya VIFO.. Kweli tunakubali binadamu tumeumbwa kuwa na Shida na raha, lakini tukisema hii blong igeuke ya matangazo ya misiba basi nadhani itakwa, haitoshi itabidi tuazime blog nyingine .. za kina MJENGWA..maana Redio nying za FM zimelenga burudani na kuelimisha ..na wewe tunaomba uendeshe BLOG .hii ki FM ..RADIO!!!
ReplyDeleteWe Anony wa Sunday, March 16, 2008 2:17:00 Medula Obulangata yako nadhani Plug hazichomi zote au Firering Order imekosewa unahitaji marekebisho sio siri!! Maisha ni mchanganyiko wa Tamu na Chungu we unataka Utamu tuu eeeeh Baba?
ReplyDeleteAnyway kwa wafiwa poleni sana nilimjua huyu bwana nilipokuwa Business Times those days... Jamaa alikuwa poa sana.
R.I.P Kaka
Mungu amlaze mahali pema peponi.
ReplyDeleteMama lao
UK
NAOMBA MANENO YA POPE YAKUGUSE NA WE ANONY WA 3:52:00
ReplyDeletemshindwe na mlegee hata sehemu zenu za sirikali.
wafiwa Poleni
Pole sana wifi yangu carolyine kwa kuondokewa na mumeo.Pole sana watoto AUDAX NA HONEYSET kwa kuondokewa na baba yenu mkiwa bado wadogo na mtayamisi malezi yake.Hao wadau namba 2 na 9 nahisi wanatindio wa ubongo.Huwezi ukabeza mwenzio akifiwa hata siku moja ka kweli umetimia.Inavyoonyesha hawajafunzwa nidham za midomo toka utoto wao na hayo ndo matunda yake kuropoka tu..
ReplyDelete