FAMILIA YA MTONYI YA HUKO DODOMA INASIKITIKA KUTANGAZA KIFO CHA MARY MTONYI AU MAMA ALI (PICHANI) KILICHOTOKEA JUZI HUKO DODOMA.
MAZISHI YANATARAJIWA KUWA KESHO JUMATATU NA HABARI ZIWAFIKIE NDUGU, JAMAA NA MARAFIKI WA FAMILIA YA MTONYI POPOTE WALIPO.
MOLA AIWEKE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI - AMINA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. Poleni sana wafiwa wote tupo pamoja na nyie katika wakati huu mgumu kwenu Mungu ametoa na Mungu ametwaa

    (from B)

    ReplyDelete
  2. Poleni sana wafiwa. Mungu amempenda zaidi kuliko sie tumuombee Mama Ali apimzike kwa amani.

    From Holland

    ReplyDelete
  3. RIP MAMA ALLY TUKO NJIA MOJA.........

    ReplyDelete
  4. INNA LILLAH WAINNA ILAYHI RAAJIUN , hakina kila nafsi itaonja mauti, poleni sana wafiwa katika kipindi hiki kigumu cha msiba

    ReplyDelete
  5. Poleni sana wafiwa. Mungu amlaze mahali pema peopni.

    Mama lao
    UK

    ReplyDelete
  6. TUNAKUKUMBUKA SANA MAMA ALI, MUNGU AIWEKE ROHO YAKO MAHALI PEMA PEPONI
    FROM HOLLAND

    ReplyDelete
  7. MUNGU AKUPUMZISHE KWA AMANI.. NJIA NI MOJA NASISI TUNAKUJA WEWE UMETANGULIA...

    ReplyDelete
  8. Mungu amlaze marehemu mahali pema peponi...Amina

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...