Home
Unlabelled
kasri ya manyara
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hakuna madini huko? Hii inayodaiwa ni misaada ya wageni toka enzi za ukoloni, mpaka leo haijatufikisha popote!!
ReplyDeleteafrica bara giza ndugu zangu huyu anayejiita madau anadai inapendza anahani duniani kuna makte wa bue???? hakuna dada , kumbuka mtu hawezi kuja kukusaidia tu aache familia yake ka mjinga ,mbongo ata wakijengewa choo atona sawa tu na kusema inapendeza , itapendezaje huku tunalipa kodi mafisadi wanazila sie tunacheka tu si aibu hii , maziwa, mito , bahari nk lakini hadi mzungu aaache familia yake kuja kuwasaidia , aibu , hadi chupi mtavalishwa sasa
ReplyDeleteMUMIANI HUYO SIJUI KAMA SIO BOY FRIEND WA MSEKWA
ReplyDeleteMisaada ya kweli au kutuumbua tu
ReplyDeleteHuyo alikua na dream ya kujenga cassle yake na huko kwao asingeweza kujenga hili jumba.
kama ni kusaidia watu jenga nyumba ndigo tu hili lote la nini kama umekwenda kusaidia watu....
Tufungue macho ....Na tax analipa shilling ngapi kwa mwaka...