Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Tunu wakitoa heshima za mwisho kwa balozi Charles Kileo aliyefariki dunia katika hospitali ya taifa ya Muhimbili mwishoni mwa wiki, baada ya ibada ya kumwombea marehemu iliyofanyika kwenye kanisa la KKKT la Azania Front jijini Dar es salaam jana

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 15 mpaka sasa

  1. Poleni sana wafiwa, nimesikitishwa sana na msiba wa balozi Kileo. Nini kimemuua mzee wetu jamani?
    kweli duniani tunapita.

    ReplyDelete
  2. R.I.P the late Amb.Kileo!
    Kwenye hii picha nimemuona kwa mbaali aliyekuwa PM Bw.Tedd Lowassa nilikuwa nishaanza kumsahau maana enzi zake nilikuwa namuona daily kwny matukio mbalimbali sijui alikuwa anapenda publicity!?

    ReplyDelete
  3. R.I.P uncle Charles. We will miss you!!!!

    ReplyDelete
  4. RIP Mzee Charles Kileo.

    Huyu alikuwa boss wangu kwa muda fulani in mid-1980's pale PMO. Alitusaidia vijana wengi tuliokuwa tunakimbizana na kuibuka na maisha. Mara ya mwisho tulionana 2005 akiwa anajaribu kurudi katika ulingo wa siasa Moshi.

    Bwana Ametoa, na Bwana Ametwaa. Jina la Bwana Lihidimiwe.

    Pole sana kwa family yake yote.

    ReplyDelete
  5. Bwana alitoa, na Bwana ametwaa. Jina la Bwana libarikiwe. Amen.

    Nafikiri kuwa alipovamiwa na Majambazi kule Afrika Kusini ndio kumechangia kifo chake.

    ReplyDelete
  6. Poleni wafiwa
    Jamani Lini tena huu msiba, mbona niko BOngo na isja sikia, jamani namkumbuka huyu KIle, je ni mumewe mwalimu KIleo aliye tufundisha Oysterbay primary school?
    R.I.P Mr Kileo

    ReplyDelete
  7. Pole sana kwa familia
    R.I.P uncle Kileo

    ReplyDelete
  8. Poleni Kwame, na wengine. Nakumbuka huyu baba alikuwa mgeni rasmi nilipomaliza high School Dodoma 1990
    Mchapakazi na handsome.
    RIP mzee mzima.

    ReplyDelete
  9. Jamani anko charless!mungu ailaze roho ya marehemu mahala panapostahili!!wamchamme wa nkuu ndoo poleni sana kwa msiba mkubwa..familia na ndugu wote wa marehemu poleni.

    ReplyDelete
  10. Jamani Poleni yeyote aliye guswa na msiba huu.
    Naomba nipeni jibu kwa yeyote anaye Mfahamu huyu Marehemu Mr KIleo, kuna mnao sema ni Uncle wenu, tafadhali naomba mnifahamishe kama huyu Marehemu alikua na Mke ambaye aliwahi Fundisha shule ya Msingi Oysterbay , nakumbuka ni alikuwa anaitwa Mwalimu KIleo ,Asante .
    R.I.P Mr Kileo

    ReplyDelete
  11. Dada sio mkewe majina yanafanana kama kuna masawe machame ,rombo,kibosho..kwahiyo ni majina tuu,yeye alikuwa balozi muda mrefu tuu...

    ReplyDelete
  12. Asante sana kwa jibu zuri ,maana nilidhani ni huyo, ila mimi s io dada.
    Thanx

    ReplyDelete
  13. sasamimi nitajuaje kama wewe sio dada ni kaka?ukuweka jina lakini swali linafanana kama wewe ni dada

    ReplyDelete
  14. RIP Balozi Kileo !

    Ni kweli ni mume wa Mwalimu Kileo alifundisha Oysterbay Primary Schoo wengine watamjua kama Mama Kwame.

    Mwl. Lilian Kileo, Kwame, Josina, Aika, Nimrodi (Timba) na Noeli, and ndugu wote, tunawaombea Mwenyezi Mungu awape nguvu katika kipindi hichi kigumu.

    Rest in Peace Mbunge mstaafu wa Wilaya ya Hai.

    ReplyDelete
  15. Shaaaaa...Pole Kwame...Jamani Poleni Saana na wengine about your dad...Pole Saana...Sha. May God Rest his soul in eternal peace.
    Janet N - (UG mate)

    P.S I just googled looking for you and found this link...

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...