hizi ndizo picha rasmi za waziri mkuu mh. mizengo pinda zilizotolewa rasmi na ofisi yake

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 24 mpaka sasa

  1. kweli kazi
    Mzee Pinda mwenyewe.... I

    ReplyDelete
  2. HIYO PICHA YA CHINI NI WAZIRI MKUU KATIKA SHUGHULI ZA CCM AU ZA KISERIKALI? MAANA IMELENGA ZAIDI ITIKADI ZA KISIASA.

    ReplyDelete
  3. Picha ya kwanza iko sawa, ila backgound ya njano kwenye picha ya pili haiko sawa.
    Mdau
    http://drfaustine.blogspot.com/

    ReplyDelete
  4. Duh! Thanks Michuzi...lakini hapo Muheshimiwa yuko serious au anatabasamu??

    ReplyDelete
  5. mmmmmmmmmuhu sura imebadilika haswa
    kwa kipindi kifupi tu kweli madaraka ni matamu haswa

    ReplyDelete
  6. eehh sasa mhe.anza kazi kama PRIME MINISTER katika ziara ulizofanya nimeshindwa kutofautisha kazi unayotakiwa kufanya sasa kama PM na uliyokuwa unafanya ukiwa TAMISEMI!
    sasa tunataka kukuona unakabiliana na mafisadi wakubwa(EPA-BOT,TICS,BUZWAGI,RICHMOND,KIWIRA,NA CHANGAMOTO ZA MAENDELEO)na badala ya vidagaa(madiwani)huko sasa muachie stephen wassira"tyson"

    WEWE UMEPEWA MENO MAKALI(UWAZIRI MKUU) KWA AJILI HIYO MHE!

    ReplyDelete
  7. hi!Kumbe naye waziri mkuu ni msanii
    anayejulikana kwa jina la kiusanii
    Mheshimiwa Mizengo Pinda aka ras-mi
    karibu sana mheshimiwa katika mtandao wa jamii

    ReplyDelete
  8. huyu bosi inelekea kweli rushwa hatakula , sura yake imekaa kiunoko, lakini je atakuja na sera za kutuinua watanzania ,kutokula rushwa hiyo ni mpaka hiyo rushwa ije!

    ReplyDelete
  9. unamaanisha nini kusema picha rasmi?kwani zingine zinakuwaga za nini?

    mdau

    ReplyDelete
  10. We anony usiejua tofauti kati ya picha rasmi na nyinginezo uko dunia gani? Picha rasmi maana ya ke ni picha ofisho ambayo imedhibitishwa na kubaliwa na ofisi ya PM sio to ambayo umepiga ktk kamera yako ya tobwe.....eboo!!! Shule noti richabo?

    ReplyDelete
  11. PINDA HANDSOME BOY....

    MADAU RHODA

    ReplyDelete
  12. cheka na uhuru

    ReplyDelete
  13. Uwiiiiiiiiiiiiii.......

    ReplyDelete
  14. Jamani wadau naomba niulize hivi?

    Mh. ana udugu na michu? Sababu ukisogeza picha ya pinda karibu na michu hapo juu pembeni almost sawa.

    Kilichokosekana ni Mh. kidogo aweke tabasamu sijui cheko iyo kama ya michu basiii.

    Duniani wawiliwawili.

    ReplyDelete
  15. Picha ya juu ni nzuri. Ya pili mbona yuko Purple!

    ReplyDelete
  16. mh unaambiwa sura mamayake mtupu

    ReplyDelete
  17. Duh Mh.ana sura ngumu kweli anaonyesha ni mserikali zaidi na sio mwanasiasa kama aliyemtangulia,design atatufaa tumpe muda ila issue za kuwatimua madiwani(DAGAA)ni ndogo amwachie waziri wa Tamisemi alikotoka ila yeye aanze na vigogo(PAPA)wale wa EPA,RICHMONDULI,TICS,TISCAN,KIWIRA,IPTL....

    ReplyDelete
  18. Nimeikubali hiyo picha ya kwanza mtu wangu ila adha kazi rasmi muda wa kuwachukulia hatua mafisadi umefika ulituahidi mwezi wa nne sasa ndio wakati wake mambo ya kuzunguka mikoa kwa kutoa pongezi imepitwa na wakati kama vipi toa shukrani kwa Wabunge kwa sababu ndio waliokuchagua na Mh. Jk kwa kukuteua

    Katochi)

    ReplyDelete
  19. Mheshimiwa handsome kaa Denzeli!!! Huyu Kikwete kweli ana makusudi!!!

    ReplyDelete
  20. Mwanamume asifiwi kwa uzuri wa sura,bali kazi....Ila kwa sie ambao ni wapagani wa siasa aka tupo nyutro aka hatufungamani na chama chochote,hiyo picha ya chini HAITUHUSU. Mheshimiwa tunaimani nae ila anachelewa kuanzisha mchakamchaka.Aige mfano wa mzee wa vitoweo,Mh.Pombe Magufuli. Namuaminia kesha anza mashambulizi hamna kuremba hiyo,wale wale wote waliopewa ranchi za taifa waziendeshe wao wakageuza na kufanya miradi mingine anawapora. Safi sana mzee wa vitoweo. Onesha viwango

    ReplyDelete
  21. Kwani Michuzi unaundugu na huyu Mheshimiwa? Mbona kama mnafanana?

    ReplyDelete
  22. Bei ya saruji kuendelea kupanda

    2008-03-13 13:43:08
    Na ITV Habari


    Bei ya saruji itaendelea kupanda kutokana na bei kubwa ya umeme, pamoja na ongezeko la gharama za uzalishaji.

    Hayo yamesemwa jijini Dar es Salaam na waziri wa viwanda, biashara na masoko Dk. Mary Nagu alipokutana na wazalishaji wa bidhaa hiyo.

    ReplyDelete
  23. Du hyu jamaa kesha pendeza.

    Sasa hiyo saruji inayopanda kila siku tutajenga kweli?????

    Mdau
    UK

    ReplyDelete
  24. ..WAZIRI MKUU UMEPENDEZA SANA..HALAFU PICHA YAPILI UMESAHAU KUVAA SHATI..

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...