Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete akisisitiza jambo wakati alipokuwa akizungumza na baadhi ya wanafunzi wa shule ya sekondari Kilwa wakati alipokuwa katika zara ya kikazi Mkoani Lindi iliyomalizika hiv karibuni.Mama Kikwete alikuwa mkoani Lindi kuzindua Kampeni ya upimaji saratani ya matiti na kuzungumza na wanafunzi
Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete akisisitiza jambo wakati alipokuwa akizungumza na baadhi ya wanafunzi wa shule ya sekondari Kilwa wakati alipokuwa katika zara ya kikazi Mkoani Lindi iliyomalizika hiv karibuni.Mama Kikwete alikuwa mkoani Lindi kuzindua Kampeni ya upimaji saratani ya matiti na kuzungumza na wanafunzi

sarakani ya matiti kwa watoto wa kiumme???au lindi hamna wasichana??
ReplyDeleteWE MDAU ULIEKOMENT HAPO JUU(09:17) UWE UNASOMA KWA MAKINI, UMEAMBIWA YUKO LINDI KWA UZINDUZI WA SAKARANI YA MATITI KWA AKINA MAMA, PIA KUONGEA NA WANAFUNZI!!!!!!!!!!!LOH! KAAAZI KWELIKWELI AKIMAANISHA WANAFUNZI WA JINSIA ZOTE NA SIO WASICHANA PEKE YAO UPO, FUNGUA MIMACHO HIYO AU ANATUMIA KOMPYUTA YA MBAO WEWE.
ReplyDeleteMDAU SCOTLAND
hivi salma, hamalizi safari za uko lindi mbona kila wakati yuko lindi, na hiyo wama ina watu wangapi??
ReplyDeleteMama wa kwanza kwenu ng,apa kule lindi vijijini hakuna usafiri na sisi ndugu zako tukitaka kuleta magari ya zamani shemeji anazuia inakuwaje sasa??na ukija unaona sasa tusaidie kuongea nae ili tulete tu pick up twa kutusaidia basi.
ReplyDeleteLindi ni kati ya mikoa masikini sana tanzania na kuna viogozi wengi maarufu wa tanzania wametokea huko,kuna wakina mama salma,mh membe,mh Hawa ghasia,magani,simba wa vita kawawa mzee mwenyewe yaani wako wengi ila mkoo huu uko nyuma sana mpaka utatisha maana maendeleo hakuna na watu wapo tu,kama wabunge wake ndio usiseme wako tu na wamejaha ufisadi wa ajabu mara wawe na band na wengine,hotel zisizo na kiwango basi shida tu ilimradi.Ipo siku tutafika lakini
ReplyDeleteMkoa ambao hauna kiwanda hata kimoja,wala university au college ya maana ni shida tupu,umeme wenyewe shida ingawa gas ya songo songo iko mkoa huo ila kwenyewe hali ni choka mbaya sana
ReplyDeleteHalafu yupo katika ziara ya kikazi toka serikalini ama...?Michu,tatizo ndo hivo tena sijui hao nao wadhamini!Hii biashara ya udhamini mwisho italeta ufisadi!
ReplyDeleteDuh...suruali na pantaluni kama wachezaji wa kuigiza!!!
ReplyDeletesiyo ajabu kwani hujasikia kuwa kuna saratani ya matiti kwa wanaume pia
ReplyDeleteKabla hujatuma comment hebu soma uilewe habari sio unakurupuka tu!!! hata watoto wa kiume wanaweza elimishwa juu ya saratani ya matiti kwani muhimu ujumbe ufike kwa walengwa, ni imani yangu kuwa hata watoto wa kiume wakiwa na uelewa wa hayo wanauwezo mkubwa wa kusambaza ujumbe kwa wazazi na ndugu zao na hata majirani!!!
ReplyDeleteMama Salma alikuwa huko katika ufumbuzi wa kampeni ya upimaji wa saratani ya matiti, lakini pia alienda zungumza na hao watoto wa kiume.
Ingeandikwa English labda uengeelewa, ndio maana huwa tunafeli shuleni kwa kukurupuka kujibu tu!!!!!!!
VIONGOZI WA NCHI WANAOSHIKA CHATI KATIKA VYOMBO VYA HABARI TANZANIA:
ReplyDelete1. SALMA KIKWETE.- huonekana kila siku.
2. M. PINDA.- huonekana kila baada ya siku moja.
3. J. KIKWETE. - huonekana mara chache.
wewe anon wa 9:17PM ungekuwa uko shule na huu ni mtihani ungepata ziro, 0 au yai. Soma maelezo ya hiyo picha vizuri uone kwanini ungefeli.
ReplyDeleteWewe uliyeweka post hapo juu huna akili kweli!!kwani wanaumme hawawezi kuwa na sarakani???au baadae wakiowa je?elimu ni elimu tuu inasaidia kwa wote..Mama wa kwanza pole na mizunguko mama..kwa kweli mama unajitahidi sna kwa kazi.HONGERA
ReplyDeleteAnon wa 9:17 PM Soma maelelzo vizuri ndipo uposti comments zako. Mama alikuwa Lindi Kuzindua kampeni ya upimaji wa saratani ya matiti na KUZUNGUMZA NA WANAFUNZI. Hii ina maana alikuwa na shughuli mbili uko Lindi na hapo yuko kwenye shughuli ya pili-KUZUNGUMZA NA WANAFUNZI.
ReplyDeleteMhhh!! Matiti tena? au Michuzi Ulimaanisha Pu.....? Angalia!Unyanyasaji wa Kijinsia huo!
ReplyDeleteMama wa kwanza pole kwa safari ndefu ya kikazi ila tunaomba kwa sasa ugeukia kwenye mikoa yetu kusini inatosha hivyo
ReplyDeleteSasa wewe mtoa mada wa kwanza unashangaa nini kwani hakuna saratani kwa wanaume au umesahau kama huo ni moja kati ya mikoa ya pwani
ReplyDeleteNawakilisha mada
Kipindi cha Mzee wa milima ya usambaa(MKAPA) Moshi walineemeka kwa shinikizo la mkibosho-Kikarara(ANNA) sasa tuangalie mtoto wa mjini bagamoyo-pwani(Kikwete) kama wakusini wataneemeka nao kwa shinikizo la mrufiji(mama salma)
ReplyDeleteNawakilisha maada
ukweli ni kwamba safari za huyu salma lindi ni nyingi mno, hmna neno ila je na mikoa mingine jamani, pametosha uko lindi.
ReplyDeletetangia ameanza lindi ameenda mara nyingi mno, tunaomba basi asonge na mikoa mingine kuchangia maendeleo ya watanzania.
ReplyDelete