mama wa kwanza wa zenj shadia karume akihojiwa na mwandishi wa deutsche welle thelma mwadzaya mara baada ya ufunguzi wa maonesho ya biashara ya kimataifa hapa berlin

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Michuzi naomba list ya waliohudhuria kwenye hayo maonyesho na Professions zao.

    Kuna jamaa kafanywa mkurugenzi wa bodi ya Ngorongoro CA, lakini sijui kama anajua hata jina la mti mmoja ulioko ngorongoro. Mi naona ni mojawapo ya vitu vinavyoturudisha nyuma na weznetu kupata nafasi ya kutuzidi mpaka kutangaza nchi yetu kwa faida yao.

    Kama hatutacha kubebana na kupeana vyeo bila kuangalia madhara yake tutabaki tunatambaa huku wenzetu wanakimbia. labda tuna kilema fulani ndio maana tunatambaa kwa miaka 46 wenzetu wanasimama na kukimbia for less than that

    ReplyDelete
  2. Yule nyuma sio Msekwa ..EX..RADIO.. Samahani SPIKA WA ZAMANI WA BUNGE ..anafanya nini huko wakati yeye ni makamu mwenyekiti wa chama cha mapinduzi ..au kaenda kufungua shina la CCM -Berlin

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...