Hi, am from Kenya.
Have a friend looking for a job in Moshi on a farm, he is more on the technical farm so anything from logistics to workshop managerial.
Moshi is the ideal place for him. He is a Kenyan but of the Seychelloise ethnic group, very hard working, matured and experienced.
Many thanks
Susan Talma
EABS Bank Limited
Head Office

talma@eabsbank.com

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Hapa katika kiwanda cha sukari moshi, Ipo kazi ya kupara miwa kabla haijaingizwa kwa ajili ya kusagwa kwenye mashine. Lakini unakimbia nini Kenya au mungiki?

    ReplyDelete
  2. haya haya... fujo zimepungua rudini kwenu sasa kumefikiwa makubaliano ya amani na Odingakaahidi baada ya miezi 6 hali ya uchumi itarudi kama mwanzo.
    UDumu Ujirani mwema!

    ReplyDelete
  3. sasa wewe sisi tunapunguza wageni ili wenyeji wawe na ajira wewe unakuja na yako tena ngoja mpaka east africa community iundwe ntakutafutia kazi

    ReplyDelete
  4. Radar Limited
    Tell him to mail his CV to the email below here on this forum all you will get is jokers...

    International House (3rd Floor)
    Garden Avenue
    Dar es Salaam, Tanzania

    Tel: +255 22 2124594
    Fax: +255 22 2124597


    Email: jonathan@radarrecruitment.com

    ReplyDelete
  5. Tafadhali mwandikie Managing Director barua ya maombi na kama bahati itakuunga mkono basi kama wanavyosema 'bob is your uncle'...Mola akusaidie kujipatia riziki halali.

    ReplyDelete
  6. Hivi jamani hawa wakenya bado wanafikiri ni bora kuliko sisi? Kama kuna kazi huko Moshi, kwanini iende kwa mkenya na sio kwa mtanzania? Mimi wananiudhi sana. Bakini huko huko kwenu, hapa Bongo hakuna nafasi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...