Home
Unlabelled
mkutano wa kimataifa kutokomeza matende na mabusha
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Sisi watu wa pwani busha ni dalili ya umwinyi, Pia kuna madai kuwa akina mama wanayapenda wakati wa mechi na wanayaita kitenisi. Any way mimi sijui ila ninachofahamu ni kwamba busha ni ugonjwa unaotibika.Nafikiri wenye mabusha wanafahamu adha ya ugonjwa huo hivyo shime changamkieni dili ya kuyatibu.
ReplyDeleteMdau Kisiju
Michu,
ReplyDeleteKuuliza si ujinga, je juisi asilia ya madafu husababisha busha au ni maneno ya kijiweni?
Maana kampeni hii pia iende na kuelewesha wana jamii busha husababishwa na nini, au na sie tuombe vyandarua vilivyotiwa dawa kutokana na msaada wa Mh.G. Bush?
Mdau
Kiguruwe
Kongowe