mkurugenzi wa programu ya kitaifa kuondoa matende nchini dr. mwele malecela (kati) akiongea na waandishi sasa hivi katika ukumbi wa maelezo kuhusiana na mkutano wa kimataifa wa juhudi za kutokomeza matende na mabusha duniani uliopangwa kufanyika ngurdoto, a-taun, kuanzia tarehe 1 hadi 3 Aprili . dk. malecela aliongelea na kutoa ufafanuzi kuhusu tatizo la mabusha ambapo amesema kwenye mkutano huo pia yataongelewa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Sisi watu wa pwani busha ni dalili ya umwinyi, Pia kuna madai kuwa akina mama wanayapenda wakati wa mechi na wanayaita kitenisi. Any way mimi sijui ila ninachofahamu ni kwamba busha ni ugonjwa unaotibika.Nafikiri wenye mabusha wanafahamu adha ya ugonjwa huo hivyo shime changamkieni dili ya kuyatibu.

    Mdau Kisiju

    ReplyDelete
  2. Michu,
    Kuuliza si ujinga, je juisi asilia ya madafu husababisha busha au ni maneno ya kijiweni?
    Maana kampeni hii pia iende na kuelewesha wana jamii busha husababishwa na nini, au na sie tuombe vyandarua vilivyotiwa dawa kutokana na msaada wa Mh.G. Bush?
    Mdau
    Kiguruwe
    Kongowe

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...