Home
Unlabelled
bwawa la maini latesa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Sio kombe ni ushindi tu wenyewe Barca wanakuja kuchukua kombe lao
ReplyDeleteni mtizamo tu
Londoner
Mkuu wa wilaya naona umeanza kunyuka pamba sasa haya system tamu eh! safi sana you look great
ReplyDeletemhhh mbona tutakoma mwaka huu na ngojea leo usiku tuwatunguwe Roma hahaha
ReplyDeletehaya bwana
william uk (man utd for life
moddy kama kawaida yake,mawani kwa sanaaaa..
ReplyDeletemiss u boo
long time sijamwona huyu ba'mdogo moddy.big up,hongera kwa ushindi wadau wote wa bwawa la maini..
ReplyDeleteMdau UK
Nyie shangilieni lakini mjue tunawasubiri Moscow, sasa hivi tunawafuga mnenepe halafu tunakuja kuwachinja kilaini, sasa mchague kisu gani ronaldo,tevez,o'shea,rio,nani au rooney. Chagua lenu.
ReplyDeleteNaona mmevamia duka la hamis Kubwa mitaa ya Jojiz wadau wa looserpool.Hongereni sie tunwasubiria kama mkimtoa Chelsea. Senyandumi
ReplyDeletebro naomba utusaidie watu wa india huyu the utamu anatuharibia sana tusaidia mambo ya haki za binadamu tumshtaki maana google wamesema hawawezi kumfungia.
ReplyDeletetafadhali tusaidie
mwana watu wa mysore tunahitaji msaada tummalize utamu
ReplyDeletesamahani kutoka nje ya maada ila sasa mambo yanakuwa mabaya watoto wamekuwa wapuuzi hapa.
we misupu na we fala tu, sasa bendela ya hilo linamaanisha nini, mbona unapenda kukumbatia vitu vya watu! mara umetutolea mipicha kibao upo Ujerumani. we mrombo tu! bongo timu kibao beba bendera zao basi! Ohoo kipenda roho hula nyama ya lupikwa. Bahati yako ungekuwa Zimbabwe ungejua Mugabe ni nani. Hapo bongo uwe unajifunza kunun bendera za Mtibwa ili no wapate angalau baiskeli jamani mwe mjomba vipi!
ReplyDeletepoa Michu, all the best wewe na Vijana wa bwawan!! Ila Barca is coming, watch out!!!!!!!!1
ReplyDeleteEbwana huyu Muddy ni nani na je ana duka na kama analo liko wapi? ,yani kama anao lazima nijipeleke hata nijinunulishe kitu ili nimangalia kwa uzuri ,jamani kijana mzuri sana , yani nime mpenda sana ,yani bonge la Handsome boy halafu ana body zuri yani sexy slim aah ...Michuzi hebu toa data za huyu kijana ikiwezekana picha zaidi nitashukuru!
ReplyDeleteDC Mteule siku 9 tu umeshaota kitambi?Punguza tumbo hilo siyo zuri.Unatumia ze laga na kiti fire nini shekhe?Fanya mazoezi bwana.
ReplyDeleteBy Lennin-Sinza.
RYAN BABEL
ReplyDeleteTHE TOWER OF BABEL
RYAN BABEL
THE TOWER OF BABEL
"this country bwana, is very poor"
ReplyDeleteSev
Mdau hapo juu uliyempenda Moddy, Moddy ni mtoto wa bwana Elmaamry, enhee, yule,yule mzee shabiki wa mpira. Pole mamii Moddy kesha oa. Kijana super lakini, tabia nzuri sana, kalelewa vizuri na mama yake.
ReplyDelete