Hello Michuzi!
Naomba nitumie blog ya wananchi kuweza kuwafahamu na kujuliana na wabongo wanaopenda mawasiliano na waishio Nijmegen- The Netherlands. Tafadhali kwa yoyote atakayependa tuwasiliane kwa email kwanza. Napatikana jmosi na jpili tu, siku za kazi ni kazi.
Tumia mathiasigulu@gmail.com


Teh Teh Teh!!watu wengine wajanja sanaa wameanza mbinu mpya ya kutafuta wachumba hongera sana kaka utawapata tuu..
ReplyDeleteFacebook, tumia facebook aah huko utakutana na WTZ wa dunia nzima ati ndio utachagua mwenyewe.
ReplyDeleteWATU WENGINE WANAMATATIZO SANA WEWE NDIO UNAWATAFUTA WATU ALAFU UNAJIFANYA~KWAMBA UNAPATIKA WEEKEND TU HIO SIO NAMBA YA SIMU KWAMBA WATU WATAKUSUMBUA KILA SAA HIO EMAIL ADRESS NA KAMA MTU AKIJISIKIA KUKUTUMIA ~UJUMBE WEWE UTAJIBU WAKATI WAKO WOWOTE UKIPATA NAFASI KILA MTU ANAFANYA KAZI SIO PEKE YAKO.acha ushamba wewe.
ReplyDeleteUmesema kweli anony at 4:07 ...watu wengine bwana kama wao tu ndio wanafanya kazi...
ReplyDeleteteh teh eeeee lakini labda hata email anazicheck weekend tu ...labda hamna email kazini na nyumbani mambo ya mtandao ni kwa city library...
Eheeeeee said umeniacha hoi yaani mtu akose email home basi na arudi bongo maana najua hata single room kuna computer kaka kama hivyo basi bora arudi bongoland akale vumbi maana mtandao mpaka library ni soo bora hata bongo kuna net kila kona ni pesa yako na muda wako tuu tena zingine mpaka saa nne usiku.Kufanya kazi ya kuosha vyombo basi imekuwa dili, je ingekuwa naniiiiiiiiiiiii pole kazi unayo kama sikosi wewe ni kabila fulani..................wapenda kazi oyeeeeeeeeeeeeeeeeee
ReplyDeleteNimesoma comment za ndugu zangu walionijibu, nafikiri hao wote waliojibu ni watu wanaopenda marumbano. Watu wenye nia njema wameniandikia email na baadhi tunapanga kuonana weekend hii. Ningependa kuweka wazi kwamba napenda kukutana na watu na kuongea siku za weekend, haimanishi kwamba watu wengine hawafanyi kazi. Kwa anayetaka physical address anaweza kuniomba na nikampatia.
ReplyDeletekaribu sana uholanzi. mie nipo the hague. nitakutafuta siku hizo. lakini je unafanya shughuli zipi hizo hata upatikane week end tu?
ReplyDeleteNi Malumbano sio marumbano acha kuharibu kiswahili lugha tamu. Na acha hulka ya kisukuma, kikurya na kiaskari okay?
ReplyDelete