Home
Unlabelled
mwalimu alipotembelea kigoma
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Inna Lilahi wa ina ilahi Rajiuun.
ReplyDeleteDuh wakimbizi wa enzi hizo, cheki kambi yao ilivyokuwa muruwa
ReplyDeleteanon hapo juu 2:32 nafikiri hiyo picha hujaifahamu umeambiwa walipotembelea kambi ya wakimbizi lakini hapo inaonesha hao viongozi walikua hoteli na sio kambi kama ulnavyofikiria.
ReplyDeleteDu! anony wa 2:32pm umenifurahisha kweli, kuiita hiyo hotel ya kitalii kambi ya wakimbizi, kwa ufupi tu mimi ni mwenyeji wa huko na hiyo ni moja kati ya hotel za kitalii mkoani hapo inaitwa Hilltop Hotel na inamilikiwa na Raia mwenye asili ya Kihindi.
ReplyDeleteDitopile alikuwa superstar. Mpaka Nyerere alim-trust na kumkubali. Si mchezo.
ReplyDeleteNasema hongera sana na asante kwa kutuwekea picha ya mtu muhimu hapa TZ na Ulimwenguni, ni mtu ambaye hakupenda viongozi wake kuhusika na UFISADI.
ReplyDeleteasante kwa mumweka baba wa taifa
ReplyDeleteMwalimu bado na anaonekana kama bado yupo hai, kweli mtu mwema akifariki anakuwa bado anaishi kwenye fikra za watu, Tumuombe Mungu atokee mtu kama yeye awaondoe mafisadi kama yeye alivyowaondoa wakoloni na kujenga nchi ya watu wote tofauti na sasa ni ya mafisadi wachache, From Michael Laiser - Dar
ReplyDeleteYes!!!!
ReplyDeleteHatimaye nimeona nishiriki kwenye makala hizi baada ya kumuona mwalimu.
Aliipenda nchi yetu sana
Hakuwa na mijitamaa na mali ya uma
Aliona mtu aliyekuwa bado anatawaliwa na wakoloni kama kaka au dada yake aliyekuwa akiteswa na alisaidia kwa njia zote.
Please endeleeni kuweka picha zake maana nikiziona nashukudia responsible leadership
Nchi yetu itahitaji revolution ya viongozi kama ile ya Africanism ya wakati wa kugombea uhuru ili kupambana na Wizi wa mali ya uma na rushwa maana rushwa inatuchafulia sifa sana tena sana kuku ughaibuni.
Inawezekana rushwa kuisha ingawa itachukuwa muda mrefu
Nchi iwe na database ya kumjua kila raia wake na kila raia na aichukue namba yake,itunzwe kwenye database.(Huku inaitwa social Security Number)
Pia mtoto anapozaliwa tu apewe
Ukiibia nchi au kula rushwa basi maisha yako yaathirike kweli kwa kufukuzwa kazi, kufungwa na kutoaminiwa tena (Felon)
Sasa hivi rushwa imejaa na kunuka mno kila kwamba kila mtu lazima ahusike ktk rushwa unapenda au hupendi, watu wanaokula rushwa wanajiona mafahali na kama ndio wenye akili kwa kuiba na kujitajirisha mno kwa magari na ,majumba ya kifahari.
Wanawaona baba zetu na mama zetu wanaolima kwa jembe la mkono kama watumwa wanaoishi nchi nyingine inayoitwa nchi ya umaskini ndani ya nchi yao ya Tanzania
Na labda, nasema nasema mwalimu alikosea mambo machache tu
Hakuchukua sera za uchumi ambazo zilikuwa realistic kwa hiyo ikakaribisha viongozi wake mwenyewe kuwa mabingwa wa kuongopa tena mbele ya macho yake huku wakiwaibia wananchi, mwalimu alijua lakini hakujua tatizo hilo litazaa balaa la rusaha kukomaa zaidi, akawahamisha hamisha kidogo.
Nitatoa baadaye maoni yangu ya jinsi rushwa inaweza kutokomezwa Tanzania na Afrika nzima kama Rushwa ikaingizwa katika sera za vyama ktk chaguzi kuu.
Lazima pia kuwepo mabadiliko katka tume ya uchaguzi na sio tu tanzania lakini Africa nzima kuondoa viongozi mabingwa wa kuongopa kwa kuingiza Electoral voting system, badala ya popular votes.
Kwenye Electoral votes
Basi mikoa mikuu kama mitano mikubwa kwa mchango wake wa uchumi kwa nchi itaamua uchaguzi maana lazima uishinde hiyo pia
mfano:-
Dar es salaam
Arusha
Mwanza
Zanzibar
Mbeya
Au iwe kwamba pamoja na ushindi wowote ukishindwa kushinda dar es salaam na Zanzibar huwezi kushika uongozi wa taifa kwa sababu dar es salaam inajumuisha watu kutoka nchi nzima na kila kabila na zanzibar ambapo watu wanaelewa mno nini maana ya kura wanayoipiga.
Ndiyo maana huoni chama kimoja kinakaa uongozini hapa Marekani kwa miaka 25
Dar es salaam na zanzibar zikikujua wewe ni mra rushwa hutashinda ! hiyo nakuhakikishia.
Viongozi na vyama vitaogopa kula rushwa maana wanajua watakosa electoral votes hata kama wakishinda popular votes
Natamani sana Africa ingebadilisha sheria za uchaguzi na kufanya kama hivi lakini ni vigumu kufanya maana vyama vingine vina tamaa ya kubaki madarakani milele na sio maslahi ya wananchi wao wanaoteseka kwa umaskini wa uktoweza kununua dawa hata za malaria au wanaokufa na njaa wakati kuna viongozi wa nchi au wanafanyakazi wote TRA wakiiba kila siku na kuonekana kama hao ndio waliofanikiwa (just kwa kuiibia nchi na watu wetu)
Tazama wizi ulivyo TRA!!
Tazama wizi ulivyo maliasili!!
Tazama wizi ulivyo uhamiaji!!
tazama wizi ulivyo kila ofisi utakakoenda!!!!
Tuatakubalije mtu kusifika au kuonekana wa maana eti kwa vile yuko TRA wakati ni jitu jizi tu?
Please Brother michuzi weka picha zaidi za mwalimu maana wengine tukimuona inakuwa kama tunapata nafuu mioyoni
Mkereketwa,
Kalamazoo,Michigan,USA
Yep
ReplyDeleteKaka hapo juu umenena
Kama wakileta electoral voting system shida zote za rushwa zitakwisha
Lakini wajua tena hakuna ila wachache tu wajuao electoral na popular voting systems
Nani atajaribu hata kusema? wakati wanafahamu hawatakaa kwenye madaraka?
Mambo ni kwamba chama kitaendelea kushika utamu(hatamu) mpaka doomsday
Na actually huu utitiri wa akina mrema labda uungane wote watengeneze chama kimoja kitakachochalenge chama kilicho kwenye utamu
Kumbe nchi yetu ina wakereketwa bado,
tunashukuru kwa maoni bora kama hayo
wenu
Mpiga rushwa,Bongo
Hey
ReplyDeleteThe way i see coruption in Tanzania and Africa, i then see the following
I see no responsible leadership
i see death sentences to our own people(Due to diseases and poverty)
While the greedy ones are enjoying first class and royal lives in a poor country like ours
I see instability everywhere as the gap of the haves and the not haves is too far to be bridged
I just see trouble along the way unless corruption issue is correctly adressed
Yep people its not that much pretty to be clasified as corrupt ones,its a big shame.
Ndimi Mchapakazi halali,
Ohio,USA
jamani jamani mnanipa uchungu sana kuweka hii picha namkumbuka baba yani utazani yuko hai jamani inapendeza.MUNGU AIWEKE ROHO YAKE MAHALI PEMA AMEN.
ReplyDeleteSweet,
Arusha.
reason why we have corruption today, is because of this guy nyerere he killed democracy in in its infancy. wakoloni walituachia vyama viwili, hiyo tanu na congress, kulikuwa kuna mtu anaitwa zuberi mtemvu alikuwa mpinzani, nyerere alianza kama waziri mkuu sio rais, jamaa (nyerere)akajiuzulu na baadae kuwahaini wananchi na kuanzisha jamhuri ili awe rais, halafu akaendelea kupiga marufuku congress ili tanu iwe chama pekee, thats why people like oscar kambona were forced into exile,uongozi wake ulivumilia sana rushwa na ufisadi ili ashikilie hatamu, ruling class plundered the BOT at will and then were forced to resign, balali and all these scumbags did not start after nyerere died but they were there during nyereres administration, all he could do is talk and nothing else, kama mafisadi wangekuwa wanapigwa risasi hadharani leo nchi ingekuwa tofauti for better or for worse.
ReplyDelete