wadau kunradhi. hivi senene kwa kiinglishi anaitwaje?
Home
Unlabelled
senene
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
senenes
ReplyDeletegrasshopper
ReplyDeleteNi GRASSHOPPERS tu! , wana jamii ya wala majani. Ni jamii ileile ya panzi. Lakini naona senene kwako ina maana ya zaidi ya wale wadudu...hiyo ya kwako mhhh...
ReplyDeleteHiyo mbona simpo..
ReplyDeletekwa kizungu ni se-fat.
SENENEZZZZZ
ReplyDeletegreen fish
ReplyDeletenadhani it is very likely senene kuwa na jina la kilatini, au scientific name. Sidhani kuna common English name of such species.
ReplyDeleteDr. Rugakingira,
ETH Zurich
Nadhani ni EKISENENE(umoja) kwa Wingi ni EVIPANZI.
ReplyDeleteGRASSHOPPER-HAWA sio senene tunaowaongelea hapa.Hao ni wale ambao HAWALIWI kama vile GUGWE na uwezo wao wa kupaa ni mdogo sana.
senene kwa english wanaitwa zinge
ReplyDeleteKUMBIKUMBI,KWA WALA VUMBI MPOOOOOOOOOOO
ReplyDeleteLocust
ReplyDeletewajameni hata mkisemwa hamkomi..mwenzetu anauliza watu wanajibu pumba!Usitaarabu jameni.
ReplyDeleteSenene kwa kimombo ni "green grasshopper"
Soma ripoti ya FAO:
http://www.fao.org/DOCREP/003/X6700E/X6700E01.htm
Ukitaka kujua zaidi kongoli my voda vasta @ 0768484854
Balalezzz........ha aha ah ah aha.!
ReplyDeleteWanaitwa "kumbikumbi"!
ReplyDeleteOOPS!
"green grasshoppers"!
My name is Masyenene!
THIS IS WHAT I'M TALKING ABOUT INGIA KWA MICHUZI UKUTE WATU WANACHEKESHANA, SIO WANAPASHANA UTAFIKIRI TUKO KWENYE RUSHA ROHO.
ReplyDeleteSenene ni familia ya Grasshoppers....na hao unaowazungumzia labda ni locust
ReplyDeleteKwa vile majuu hawapo kwa hiyo jina lao wazungu hawakupoteza muda kuclassfied
Senene kwa kiinglishi anaitwa Kikwete yaani rukaruka!!!
ReplyDeleteNI PANZI TU
ReplyDeletesenene kwa kiingilish wanaitwa mugabe
ReplyDeletekaaaaazi kwel kwel, yaani mdau mmoja tu kapatia, lakini siyo lugha yetu hivyo kama wewe sio mtu wa kilimo au mali asili au tour guide ni ngumu kufahamu.
ReplyDeleteKuna wanyama wengi wanafahamika kwa ki-english lakini hatuwajui kwa kiswahili mbaya zaidi wanapatikana bong tu
Ni kweli kabisa voda fasta kule kwenye link wameandika hivyo.Kwa vile ni jamii ya panzi na pia ni kijani itakuwa ni hivyo naamini.
ReplyDelete"There are many varieties of insects that are eaten or that are used to produce food items in Tanzania. The common known ones include bees, flying higher termite species (Macro termes) (Kumbikumbi swah. Nywa, fihwa) and green grasshoppers (senene). The termites and green grasshoppers are of great importance in Miombo woodlands. They are traded in local markets after being fried and salted only.)"
Sina cha kuadd bali kucheka hadi basi LOL kuna watu shule za msingi walipaa vitenesi lol
ReplyDeleteNADHANI LEO MUMENIKUMBUSHA KITU HAPA. NASIKIA SENENE, KUMBI KUMBI, NA MENDE NI JAMII MOJA.
ReplyDeleteNAWASHANGAA KINASHOMIRE KWANINI MUNAMBAGUA MENDE-MLAMBENI TU.
UKITAKA PROVE JUST MKAMUE MENDE, SENENE, OR KUMBI, WOTE WATAKUPA SAME MATERIAL..
NDIO MAANA NAMIMI NAKULA SAMAKI MCHANGA MWENYE THUMPU.
G7
JAMANI, Ndg zangu mmenichekesha sana, kwa kweli jamani, Thank you guys so much for making laugh like crazy.Thanks YO.
ReplyDeleteWewe unayeleta link sijui ya voda fasta ....hivi hujui nao ni watu kama wewe? Internet hii ya leo sio vitabu vya zamani ndugu yangu ambavyo watu wana edit na kuedit kabla hawajapublish...Kuna makosa mengi tu sana katika net ....
ReplyDeleteSio kila unachokisoma kwenye internet ni kweli. Naona watu wengi humu wanaweka references kutoka wikipedia kila siku pia nashangaa na macho yangu.
Michu Boy Thank you, tumecheka tumefurahi na tumeongeza umri kwa kwenda mbele! Lete nyingine tafadhali. Naona wewe na rafiki yako mwanamahesabu mmeamua kulivalia njuga suala la kusafisha hali ya hewa humu ndani.
ReplyDelete"BIG THUMB UP!"
Please usituletee tena wauza sura!.
kuna TUKI ya kiswahili-kkingereza vitu vidogo vidogo kama hivi huwa inasou fasta.
ReplyDeleteTUKI (Taasisi ya UkuzajiKiswahili)
Ila nazungumzia kamusi yao yauzwa buku nane unusu tu!
Nenda pale TUMAINI ya YUDII Duka la vitabu
KUTOKANA NA KAMUSI YA MTANDANONI:
ReplyDeletehttp://africanlanguages.com/swahili/index.php?l=en
"SENENE" kwa KIINGEREZA
1) KAMA MDUDU anaitwa "GRASS HOPPER" (GREEN)
2) Kuelezea hali ya ugonjwa: (LONG TIME ILLNESS)
KWAHERI!