aghalabu ukienda mbugani utakuta pundamilia wamekula pozi hili. nilipouliza nikaambiwa hiyo ni mbinu yao ya kula chebo, yaani kuangalia adui asiwavamia kirahisi endapo kama watakuwa wameangalia kumoja...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 29, 2008

    michu sio kweli bwana hao wanyama nao wanastaili zao za kuonyeshana namna gani wanapendana....mapenzi yapo kwa kila kiumbe..

    mdau URUSI

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 29, 2008

    Kula CHABO, sio CHEBO,,, vp kaka sio kimakonde hicho, ni kiswahili cha mitaani

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 29, 2008

    WE ISSA NINI HAO PUNDA MILIA WAKO KWENYE MASUALA YA "..CHENJI POZISHENI.."

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 29, 2008

    Jamani mbona mnamawazo ya namna hiyo!!
    Kitu kidogo tu mapenzi! Hamwuoni hawa punda bado ni wadogo kabisa hata hawajui vitu hivyo.
    Tembeleeni mbuga za wanyama jamani muwaone!
    Sio uchukue mawazo ya mbwa uyapeleke kwa the zebra

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 29, 2008

    yap hao jamaa wanaonyesha manzi na pia wanakula chabo.
    Michu mtandao umitulia big up

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 29, 2008

    hao watakuwa couple,Mungu na aendelee kuitwa Mungu.

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 29, 2008

    Ni kweli michuzi,na mimi niliwahi kuwaona kati ya Naabi na Seronera.Mishale ya jua kali kwenye saa 6-9 mchana.Wanapendeza sana wanakuwa wawili wawili(Duniani wawili wawili).Bahati mbaya nilikuwa na YASHIKA ya mwaka 47 unapiga na kusogeza film,nikashindwa ku-'download' picha.Hard copy ninazo,nikutumie michuzi.Jibu sitanii.

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 29, 2008

    Sio chebo ni CHABO bwana Michuzi.
    Mdau mtaani

    ReplyDelete
  9. AnonymousMay 29, 2008

    yes yes leta mambo halafu nifahamisheni kupitia: dandiinal@googlemail.com

    asanteni my love!

    ReplyDelete
  10. AnonymousMay 29, 2008

    anon 11:30 unaongea nini??my love ndio nani sas?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...