FC Kilimanjaro (pichani) wamerejea uwanjani kwa kishindo siku ya Mei Mosi kwa pambano la kirafiki na watani wao wa jadi Uganda. Matokeo FC Kilimanjaro wameshinda kwa mabao 4 - 1.
Ujumbe na ushauri wa bure kwa FC Bongo wa Finland; mwenzio akinyolewa nawe jitie maji kabisa. August.
Khalifa ZAM
Nordkapsgatan 15,
1tr164 36 Kista
SWEDEN
Tel.nr. +46 8 6320116
Mobil. + 46 737234412
Kilimanjaro tunakuja kuwanyoweni kwa mapanga huko Stockholm, Tunaanza tizi rasmi jumamosi kwa ajili yenu mwezi wa August. Salamu wote huko.
ReplyDeleteEzza Helsinki.
Mdau Khalifa wa sweden..Ntafurahi kama utaweza kunipatia email address ya kijana Kessy Karama. Nasikia yuko huko na yupo kwenye team yenu ya FC Kilimanjaro. Ni hayo tu
ReplyDeleteShukrani
Kachichi
Naam Kachichi tembelea webbsite yetu www.kilimanjaroclub.com utapata anuani za barua pepe,hata hivyo hii ya mshikaji wako ni: karamabr@hotmail.com
ReplyDeleteNd.Kachichi unaweza kutembelea webbsite yetu utapata anuani za vijana uwatakao,lakini kwa hii ya mshikaji wako ni: karamabr@hotmail.com
ReplyDeleteKhalifa Zam