Home
Unlabelled
minazizzzzz....
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Simchezo kweli hio teknolojia.sasa kweli hapo si tunaongeza ajali au?mambo ya kukwepa mnazi kati kati ya barabara.
ReplyDeleteHebu nielimiisheni. Ndo kusema Emirates wamehama toka Haidary Plaza? Kama wamehama hapa walipo ndo wapi sasa? Mimi ni mteja wao. Nisije nikapata taabu siku nyingine nikitaka kusafiri.
ReplyDeleteMdau wa Osaka
Kwako anon 6:04 pm hapo nahisi hapo ni Haidery plaza ndugu yangu ila ndio pamechakaa kinoma yaani.
ReplyDeleteHii picha imenikumbusha mbali sana. Asante mdau kwa kutuma hii picha. Panakera sana hapo kukiwa na foleni.
Mdau- Amsterdam
Yaani nimecheka mpaka basi .Duuuu!
ReplyDeleteMnazi katikati ya barabara,yote kukwepa kukarabati.
Mdau wa Osaka, Mnazi tu umekupoteza ramani? Au umeona kwamba Haidary Plaza hapawezi kupandwa Mnazi?
ReplyDeleteHata hivyo mnazi huo si kweli kwamba umepandwa. Baada ya kuona Mamlaka husika 'hawaoni' kwamba hapo kuna shimo msamaria mwema alijitolea kuweka hayo Makuti ili angalau waendesha Magari wsijeharibu magari yao kwa kuyatumbukiza kwenye Korongo hilo.
Wahusika wote wako bize na mambo ya ufisadi. Hakuna muda wa kufukia mashimo....
Michuzi acha kupotosha maana ya 'kupanda' huo mnazi! Lengo ni kuwatahadharisha madereva uwepo wa shimo katika barabara ili waweze kulikwepa hilo shimo!
ReplyDeletePUNDA NA FARSI WOTE NI WANYAMA NA KAMA UNAMAKENGEZA HUWEZI KUWATOFAUTISHA, JAMANI KWA WANAOJUA MINAZI ILIVYO WATAKUBALIANA NAMI KUWA HUO SI MNAZI BALI NI MTENDE. HATA HIVYO WABONGO TUKO TAMBARARE TUMEZOEA KUSEMA SI MRADI UJUMBE UMEFIKA! HUWA HATUKUBALI KOSA.
ReplyDelete