Waziri wa afya na maendeleo ya Jamii nchini Tanzania Prof. David Mwakyusa akisalimia na Naibu katibu Mkuu wa umoja wa Matifa Dr.Asha Rose Migiro kwenye Makao makuu ya Umoja huo mjini New York,Marekani.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 26, 2008

    Acheni kuharibu kiswahili kw akuigiza uzungu. Hapo wanasalimiana au wameshikana mikono? Kusalimiana si wangetazamana? Mnataka kutudanganya kwamba kabla ya kusimama hapo hawauwa wamesalimiana? Ina maana kila mtu alitoka kwake ndo mara wakakutana hapo???
    Ukweli ni kwamba walikubaliana waende hapo kwenye hiyo nembo wakapige picha. Kwamba wanasalimiana hiyo ni siasa ya umaarufu tu kupiga pich ana huyo mama si mchezo Mwakyusa ameosha jina. mmmmmmhhh

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 26, 2008

    Am proud of Dr. Asha-rose Migiro.
    Keep going mama!!!You make Tanzania in the World's map. Pliz tell Mwakyusa wadeal na mafisadi wanaotuchafulia jina zuri la Tanzania.That Legisltive House you used to be in now watu wanatupiana mambo flani ya kishirikina pliz mama washauri wenzako...Wape picha ya Ulimwengu unavyokwenda labda watapunguza ifisadi. Watanzania wako hoi wakati wachache wanajinufaisha.Jamani ukiwa nje ya bongo ukiona wenzetu walivyoendelea then ukipiga picha ya home watu wachache wanavyokula pesa za walipa kodi badala ya kujenga nchi inauma sana.
    All the best Dr. Asha-rose Migiro

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 26, 2008

    Nakumbuka sana mambo ya huyu Profesa wetu pale TTCL,wadaau wa TTCL bado hatujamsahau,kina Wilbroad Slaa sijui wamemsahau mjomba huyu?

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 27, 2008

    Ungejuaje Mwakyusa kafika hadi New York Marekani?Nyinyi endeleeni kutibu Malaria kwa Aspirin za India,'sisi'bwana lazima tufanye medical check up kila mwezi nchini Marekani.We unafikiria watu wanamwaga Upupu hadi Bungeni mchezo?Acha bwana,nani alikwambia Duniani kuna usawa?Vidole vyote vya mkononi si vingekuwa na urefu sawa?Una mgeuza Mungu nanihii siyo?Zile mashine za kupimia Presha za Bongo haziaminiki,zinaingiza upepo ati!Tupoteze Kiongozi ati kwa kuogopa kutumia visenti,iweje!Hamkuridhika Tume si itaundwa,shida yako nini?Tume ikimaliza kazi yake inaundwa Tume ndogo yake kuichunguza upya ile Tume ya kwanza ilifuata Maadili?Eboooo....Konoooooz vipi mbona hunielewi wewe?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...