Home
Unlabelled
jitu la dubai
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
wow! huyo naye ni mrefu sana. Lakini mrefu kuliko wote ni mchina anaitwa Bao Xishun yeye ni 7ft 9inches na ninavyosikia anapelekwa USA soon kufanyiwa operation ya tumour kwa vile yeye bado anakua tu kidogdogo na ni mtu mzima sana..
ReplyDeleteDuh sijui maisha yao niaje
pepe kalle alikuwa je?
ReplyDeleteMtu mrefu kuliko wote aanayeishi ni myukrainian 37-year-old
ReplyDeleteLeonid Stadnyk ana urefu 2.57m (8ft 5in)
Anayeshika record na kafa ni
Robert Pershing Wadlow (1918 - 1940) alikuwa na urefu wa 8' 11.1" (272 cm) na 490 pounds(222.26kg
Wote hao chamtoto, kiboko yao ni great Hali wa WWE akifuatiwa na UMAGA.
ReplyDeleteJ4
mi ninavyoona hiyo picha..we braza uliyetuma kimo chako ndio sio kirefu.Kitu kinachopelekea huyo dogo kuonekana kama giant.
ReplyDeleteMtu mfupi na mwenye mashavu kuliko wote kwenye suilivan summit ni M.I.michuzi
ReplyDeleteMdau V.Nyerere ungesema huyo ndie
ReplyDeletemtu wa miraba minne uliyepata kumuona lakini kiukweli huyo ni cha mtoto wapo wengi kuliko huyo,huyo dogo hamshindi mcheza mieleka wa WWE great Ali. halafu tutafautishe baina ya kuwa mrefu na kuwa miraba minne. kuwa miraba minne ni kuwa mrefu na umbo kubwa na kuna wengine si miraba minne bali ni warefu kama stadnyk kutoka ukrain ambaye ndie anasadikika kuwa ni mrefu kuliko wote duniani na mchina Bao xishun.
mdau Paka la jikoni-UK
Huyo akikufumania lazima ulie.
ReplyDeletehashim thabeet mmemwacha wapi nyie???
ReplyDeleteduh hilo dude mwanangu si la kawaida,nadhani full msosi
ReplyDeletewe v nyerere huyo mrefu kwa uarabuni usituzingue..huyo kawashinda waarabu tu wamekomaa kwa kula halua na tende
ReplyDeletehii njemba haina tafauti na great kali wa www
ReplyDeleteWe Salim umenichekesha sana, and thats the Truth, asante too funny.
ReplyDeleteLakini huyo jamaa tall mbona anafanana sana na Great Kalii!! Inawezekana ni ndugu yake.Hata urefu inaonekana wako sawa
ReplyDeleteLakini huyo jamaa tall mbona anafanana sana na Great Kalii!! Inawezekana ni ndugu yake.Hata urefu inaonekana wako sawa
ReplyDelete