Home
Unlabelled
miriam ikoa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
kumbe alihama vodacom ehh miaka inakimbia
ReplyDeleteKudadadeki!
ReplyDeleteUmenikumbusha mbali sana kaka.
Huyu dada Miriam nilikuwa namzimia sana enzi hizo yani nilitokea tu kumhusudu hata angeweka maji kwa kiatu chake akanambia ninywe ningekuwa radhi ati. vituko vyake na kujiamini kwake ndo kulinimaliza kabsaaaaa. Ajabu nilikuwa nimeshamsahau mpaka nimeona picha ndo nikamkumbuka. Sema tu nilikuwa mdogo vinginevyo ningetangaza ndoa.
Hiyo Picha safi sana, Nicki you look good Brother
ReplyDeleteKuda dada deki michuzi picha zako za ukoo mbona mdogo wangu Mussa Mnasi yupo kwenye mkutano huo humtoi?. Nikirudi bongo utani koma
ReplyDeleteEarl naona tabasamu kubwa sanaa,mjusi nae kakubali,lookin good bro(no hommo, real talk)
ReplyDeleteDave b/ham
Shemeji nakuona bwana mambo ya sullivan
ReplyDeleteMmependeza though siwafahamu.Kumbe kwenye hao walosimama kuna mdada super natural beaty?NANI KAMWONA?
ReplyDeleteUncle michuzi,nimekubali wewe mwalimu mzuri,matunda ya mikonooozzz yameanza kuonekana kwa wanafunzi wako.Imenichukua kama dakika 20 hivi kuona hiyo mikonoooozz kwenye snap!
ReplyDeleteHahaah Earl mazee Keep Up Bro. Piga Usi Beep.
ReplyDeleteNakuona Aunt E.your looking Good(H-Town-mtoto mzurix2 )
ReplyDeleteKuna mtu kamtaja Mussa Mnasi, je huyu Mussa alisoma primary Manundu Korogwe, alikua na dada zake kina Farida, Zena na wengine nimewasahau kama ndio pls kuna class mate wake hapa ningependa kumpa hi.Kama si Mussa huyo never mind then.
ReplyDeleteEmma Uriyo aks Mrs Omari Mandari..naona bongo imekukubali...kudadeki wallaah manshallah keep it up baby.
ReplyDeleteClass mate wake anaitwa nani?
ReplyDeletejust a simple question, hivi huyo kaka on the far right(mwisho kulia) anaitwa nani tena???
ReplyDeleteUmempenda au? manake naona wamuulizia kwa msisitizo... I just wanna make sure b4 I reveal his name & contact
ReplyDeleteactually i dnt know, he looks very nice/good! and yes its possibly nikampenda! so can you tell me his infoz!! thanx
ReplyDeleteKAKA MICHUZI NIMEMZIMIA HUYO BRAZA MWEUPE,NAOMBA NAMBA YAKE PLIZZZ.
ReplyDeleteKAKA USINIBANIE TAFADHALI,ANGALAU NIMEJUA YUKO CELTEL.
HOUSTON,TEXAS
Huyo ni Godfrey Kavishe na ameshaoa KOMENI!!!
ReplyDeletesasa hasira za nini? kwani kuna kosa gani kuuliza jina la mtu?? koma wewe. nafikira zako potofu!!!!!
ReplyDeleteKumbe bado wadada wanazimia wanaume weupe, haya kaka God be careful watu wanataka contact na wako TX, makubwa hayo kaoa jama na contact ndio hazitoki tena, msiniulie wifi yangu kwa presha.teheeeee teheeeeeeee.
ReplyDeleteKuna wengine single in the family, let me know if u'r still interested.LOL