MKUTANO UJAO WA LEON H. SULLIVAN UTAFANYIKA NCHINI RWANDA MIAKA MIWILI IJAYO. RAIS WA NCHI HIYO MH. PAUL KAGAME USIKU KUAMKIA LEO ALIPOKEA RASMI MWENGE WA SULLIVAN TOKA KWA KIKWETE AMBAYE MIAKA MIWILI ILOPITA ALIUPOKEA TOKA KWA RAIS WA NIGERIA WA WAKATI HUO MH. OLESEGUN OBASANJO JIJINI ABUJA.
Home
Unlabelled
rwanda kuandaa sullivan ijayo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...