GEMU LIMEANZA DAKIKA KAMA 40 ZILIZOPITA NA MATOKEO HADI SASA SI STARA WALA CAPE VERDE A.K.A PAPA WEUSI WALIOPATA BAO.
NA KWA TAARIFA ZA HUKO CAPE VERDE TAIFA STARS WANACHEZA JIHADI NA CAPE VERDE SI WEPESI KWANI UKIONDOA WACHEZAJI WATATU TU WENGINE WOTE WANACHEZA PROFESHNO KATIKA TIMU MBALIMBALI ULAYA.
TUTAENDELEA KUFAHAMISHANA MATOKEO KADRI YATAVYOTUFIKIA.
NAAM, HIVI SASA NI MAPUMZIKO NA MABAO BADO NI 0-0....
jamhuri ya cape verde ni nchi ya visiwa ambavyo viko magharibi ya bara la afrika kwenye bahari ya atlantik. Ilikuwa chini ya ukoloni wa ureno tangia karne ya 15 kabla ya kupata uhuru mwaka 1975. soma zaidi juu ya nchii hiyo kwa kubofya hapa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 07, 2008

    haroooooo michusi, hebu tusaidie kama kuna site inayoonyesha scoreline live.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 07, 2008

    hadi sasa hivi, Cape Verde 1 stars 0. Mpira bado unaendelea.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 07, 2008

    dakika ya 73 BABANCO aipatia cape verde goli matokeo hadi sasa ni sisi 0 cape verde 1.
    Mdau chiefommy Bougie Algeria
    naomba kuwakilisha

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...