prezidaa wa fm academia na muzee wa bamba nyoshi el sadat akijichana na mfadhili wao mkuu jerome leo kwenye viwanja vya sabasaba kabla ya kupanda jukwaani na kumwaga ngwasuma la nguvu. leo ilikuwa funga kazi, bendi zote kubwa zilikuwepo. twanga walikuwepo, kadhalika na akudo impac na baba wa muziki msondo ngoma kwenye mabanda tofauti
prezidaa wa fm academia na muzee wa bamba nyoshi el sadat akijichana na mfadhili wao mkuu jerome leo kwenye viwanja vya sabasaba kabla ya kupanda jukwaani na kumwaga ngwasuma la nguvu. leo ilikuwa funga kazi, bendi zote kubwa zilikuwepo. twanga walikuwepo, kadhalika na akudo impac na baba wa muziki msondo ngoma kwenye mabanda tofauti

menu yenu inavutia kweli,
ReplyDeletesweet,
Arusha.