kocha msaidizi wa timu ya taifa ya vijana sylvestre mash (kati) akiwa na baadhi ya wachezaji wanaounda timu ya kombaini ya copa coca cola wakiwa njiani kuelekea brazil kupitia dubai kwa mazoezi. asante mdau abdulrahmana mbamba kwa picha hizi walipokuwa ndani ya pipa vijana wa timu ya umri chini ya miaka 17 waliochaguliwa kuunda kombaini na kwenda brazil kwa mazoezi baada ya mashindano ya copa coca cola 2008 chini ya udhamini wa coca cola



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 10, 2008

    Huyo wa dirishani anasema, Mungu si Athuman nimepanda pipa na nakimbia ufisadi na umasikini wa nchi kwa kipindi kifupi.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 10, 2008

    anon 12:05 umeniacha hoi, lakini namie nahisi hivyohivyo huyu wa dirishani katulia anaona yes nimeukata......Bongo kwetu na tunakupenda, ila jamani tofauti ya walionacho na wasionacho KUBWA MNO, yaani kuna watu kibao yaani ni CHOKA MBAYA, maisha noma, duu hata wakijilipua haki yao tu.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 10, 2008

    na nyie mbebe drugs kama wale wenzenu mabondia muone brazil watakavyo wagombania nyambaffu nyie

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 10, 2008

    Na Masanja mkandamizaji nae yumo au macho yangu tu....????!!!

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 10, 2008

    Angalieni msisafirishe madawa ya kulevya mtaozea jela. Kila la kheri

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 10, 2008

    Duh, kaka Michu, mbona watuweea picha za watoto walio very nervous? Duh, sjui ncheke ama nfanyeje..

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 10, 2008

    hivi ndivyo wenzetu walivyoanza kujenga soka lao...simba na yanga walitakiwa wawe wameshazifanya safari kama hizi muda mreeefu sana uliopita na sio kuendekeza majungu na uchawi

    hatimaye tumeanza kucheza soka la kisasa...akina rubeya, madega na viongozi wengine wa vilabu vya kibongo wanatakiwa waige mfano huu.

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 14, 2008

    Kuna wawili hapo naona ni 17 again....hahahahah

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...