




Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Michuzi, msalamie sana Japhet! - Chemi
ReplyDeletekweli suti za kuazima haziongopi kwani watu kama majokeli
ReplyDeleteMkuu Wa Nanilii Naomba Nikuulize...MBONA PICHA ZOTE MKONO UPO MFUKONI Au UnaTune Hirizi???
ReplyDeleteukijua kuwa umefanya jambo sivyo-ndivyo na unajua dhahiri waosha vinywe hawatalala bila ya kusema neno, basi unachostahili kufanya ni kwenda kule woasha wanapokwenda kabla ya wao hawajafika.
ReplyDeletendio trick ambayo michuzi ameamua kuitumia ktk huu mtundiko wa suti ya kuazima...
tukiachana na hayo ya suti,mimi naomba msaada mmoja wadau tusaidiane;
hawa wabunge wetu huitwa waheshimiwa na sometimes hata wao wenyewe hujiita Waheshimiwa..
hivi inamaana kwamba sie tuliobakia ni wadharauliwa? naomba msaada wadau
Hapo suti ya Athumani bwn!!! imemkubali kishenzi!
ReplyDeleteHuyo asiye na suti, si ni Peter huyu!! Amenenepa haswa!
ReplyDeleteNdugu, Hiyo tabia ya kusema watu kijanja siyo nzuri, yaani wewe umeguandua kuwa wenzako wameazima suti waje nazo Dodoma halafu unatoa siri zao, hakika wewe siyo rafiki mwema, Nimekuogopa kaka, Anyway umeeleweka kwa kutaka watu wajue kuwa uliopiga nao picha na suti zao hizo wameazima.
ReplyDeleteSir ISSA NAONA MKONO UKO MFUKONI "YAHE" DAWA YAKE NI "ANT ITCHING"
ReplyDeleteMichuzi leo umemsahau Peter Twite wa Majira? unamwita mdau wa dar?
ReplyDeleteHEEEEE KWELI HAKUNA WEMBAMBA NAMKUMBUKA ATHUMANI ENZI ZA ZE GADIAN MH ALIKUWA KAMA FAGIO LA CHELEWA ALKINI ALIKUWA ANALIPA KULIKO SASA MWAMBIE JK AMPUNGUZIE TIRIPU.
ReplyDeleteKAKA JAFET NAE KAPENDEZA SANA NAONA AMEPUNGUZA ULABUU MANAKE ALIKUWA HALI ILA NGANO DU ILIKUWA KWA KWENDA MBELE MPAKA MIDOMO IKAUNGUA . KAZI KWELI KWELI ( USIBANE ACHA TUFURAHI)