juu ni barabara ya mandela rodi kutokea ubungo hadi bandarini, na chini ni barabara ya nyerere (zamani pugu) rodi kutokea mjini kwenda uwanja wa ndege wa eapoti. ya juu inakwanguliwa lami yote na kuwekwa mpya pamoja na mitaro ya maji ya mvua pamoja na njia ya huduma. ya chini nayo inawekwa mkeka mpya. ila sijui kama watakumbuka kuweka rangi na alama za barabarani, maana kwenda eapoti usiku noma kweli. si ajabu mtu kukwaa msingi


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...