kukipambwa kunapambika
libeneke kwa hapa
ushindwe wewe tu
masaladi ya nguvu
bufee la kufa mtu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. siii mchezo haya mahanjuz,,,
    so its possible to conduct diffferent ceremonies,parties?so nice really they;re gd

    ReplyDelete
  2. bro michuzi, tuulizie tafadhali bei ya kumbi hizo maana kwa kweli ni bomba sana.

    ReplyDelete
  3. YOTE NI UBATILI!!!! Mhubiri anasema

    ReplyDelete
  4. Mtu ukiwa huna hela bwana! Wee acha tu unashika dini kweli kweli!

    Na nyie wengine si muingie kwenye website ya Kempiski muulize bei kwa email au kwa simu sasa kutaka kumkwaza mwenzenu na kibarua kisicho na mshahara! Mbona kuuliza bei ni simpo!

    ReplyDelete
  5. we anonymous wa 2:29am mbona unakuwa huna busara huyo mtu angekuwa anajuwa hivo vitu asingeuliza hapa,jitahidi kuwa mkalimu sa nyingine.
    ahsante.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...