KHABARI KAKA MICHUZI?

MIMI NI MTANZANIA NINAYEISHI BUKOBA MKOA WA KAGERA. NA NI MMOJA WAPO WA WADAU WAKO WAZURI WA BLOG HII NAPENDA SANA KUSOMA KHABARI UNAZOZIANDIKA KILA SIKU SIJISIKII SIKU IKIPITA BILA KUTEMBELEA WEB YAKO UKWELI UKO JUU KAMA TIGO.

KAZA BUTI KAKA KAZI UNAYOIFANYA SI MCHEZO UNATUPA KHABARI MOTO MOTO KILA SIKU. NAPENDA KUWAAMBIA WATANZANI A WANZANGU WAPENDE KUTEMBELEA BLOG YAKO KWANI INA KHABARI MOTO MOTO ZA KUELIMISHA NA KUBURUDISHA.

NIMETUMA PICHA YANGU KAMA MDAU MMOJA WAPO WA BLOG HII.

ASANTE SANA KAKA MICHUZI
MDAU NEEMA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Hebu tuondokee huko, sasa ndio nini hivyo umekaa kwenye kiti na soda umeiweka chini?

    ReplyDelete
  2. Michuzi mimi sitaki kuchafua hali ya hewa.Nina ombi,unaonaje wa/mdau w/akituma picha na salaam akatoa na jina lake halisi.Ni hayo tu.Otherwise mpiga picha alijitahidi sana kupiga hiyo ground oblique photo kutuonyesha vinywaji vya sakafuni!.'MWAKOLA MUNO MUNONGA'!!(Ahsanteni sana sanaa)

    ReplyDelete
  3. Iwe Mtani!
    Unaonesha kadomolo kamejaaa!

    ReplyDelete
  4. waitu mkazi, bila hata kusema unakaa bukoba, nikajua ni wa bukoba, samaki kwao majini mama, nchi kavu hoa panya tu. umependeza na coca cola yako.

    ReplyDelete
  5. Hebu simama nione suti vizuri, nna wasi wasi na fitting yake.jamaaaaani.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...