Home
Unlabelled
tbl yahujumiwa kweupeeee
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Nawapongeza hao waliofuta matangazo wa TBL maana idadi ya walevi imezidi kuongezeka. Takwimu zinasema kuwa 75% ya Watanzania ni alcoholic.
ReplyDeleteNi nchi ya pili inayoongoza kwa ongezeko kubwa la walevi duniani ikiifuatia Urusi.
Uchumi wetu unazidi kudidimia na productivity haiongezeki.
Watu wanashinda vilabuni 24 hrs matokeo yake wamekuwa watumwa wa pombe.
hiyo issue mi naona ni mchezo mchafu "gorrila marketing" unachezwa.wanaofanya ni hao hao TBL .wao ndio wameshindwa game na hii ni baada ya wapinzani kuwa katika mchakato wa kufungua kiwanda hapo.wanajua watapigwa bao muda si mrefu kama ilivyo dar,mwanza na kwingineko.TBl waliwahi kuwa wananunua bia za wapinzani kwa maroli na kwenda kuzivunja..wakashindwa wakaanza kuchukua chupa sababu zinafanana ili jamaa wakose chupa sasa kuna chupa ndefu zaidi ya zao.wachukue na hizo basi.sasa naona wanataka kuonyesha watu kuwa wapinzani wameshindwa.hiyo ni janja yao..wapinzani lazima tuwafunike hao kenge
ReplyDeleteJino kwa Jino maana wao nao walihujumu kiwanda cha bia ya Kibo hapo Moshi.
ReplyDeleteWewe ulietoa takwimu hapo ni kivyako na kwa taarifa yako haitasaidia kushusha hiyo pasenti hata mabango yote yatolewa lager zitauzika kama kawa tulishazijua. kili na products zingine zooote.hao wanaofanya ivo wang'oe kabisa.
ReplyDeletembege imekosa wanywaji,hahahahahaha
ReplyDeleteannon wa kwanza sawa sawa,,,
ReplyDeletehawa watu ni wauaji tuu,basi mnywe na mchape kazi mzalishe na pato la m Tz liongezeke,,,bt mwakalia kilevi weeee no kazi no uzalishaji,,lo umaskini ndo tunao na bado mwaendekeza ulevi
Yawezekana kuwa waliofuta hayo matangazo ni walevi wenyewe, yaani wateja wa TBL.
ReplyDelete