Baada kufanya show ya mwaka huko Jersey City, NJ iliyokubalika na mamia ya washabiki wote wa bongo flava waliohudhuria,
Alikiba anaeleka Baltimore,MD
jumamamosi ijayo 10/11/08
ambako ameahidi tena kudhirisha umahiri wake wa kupagaisha watu na vibao vyake "CINDERELLA", "MAC MUGA", "NAKSHI NAKSHI" na vingine vipya alivyovitoa jikoni hivi karibuni.

Waandaji machachari wa PAYUKA ENT. wamejitayarisha vilivyo kuandaa na kuhakikisha kuwa hii show itakuwa gumzo la mwaka.

Wanapenda kuwakaribisha kwa dhati wapenzi wote wa Baltimore na maeneo ya karibu kuja kuhudhuria show hii kabambe.

Tafadhali fika mapema, milango itafunguliwa saa tatu usiku mpaka chee.

Kwa maelezo Zaidi tafadhali cheki Flier hapo juu ama nenda

au
Aksanteni.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Tunakuja kukuona AK. nimetoka Kigoma nimekuja mamtoni,ukiniona hutanikumbuka.Mimi Leo niko Marekani.....

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...