

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
mkuu wa wilaya ya nanihii caption ina walakini kutoka Rais mstaafu wa Nigeria anayefuata ni Jenerali Joseph Kabila wa DRC na siyo Pierre Nkurunzinza wa Burundi.
ReplyDeletejamani wee anno wa kwanza una kifafa cha macho na maandishi??soma uelewe alaaaa!!
ReplyDeleteila duh hii safu haina "gender sensitivity"kbs wote midume??mboni wako viongozi wanawake wa mfano,,africa is africa
Mimi nadhani wewe anonym wa 6:33 una matatizo ya kisaikolojia, maelezo yapo sawa sawia. wewe tu macho yako.
ReplyDeleteAnony wa kwanza bwana!!!! we acha tu, inaonyesha kwa koran ndiyo mwenyewe. mambo ya kisegele nyuma.
ReplyDeletehilo tapeli la kinaijeria mbona kavaa pazia!!!
ReplyDeleteAfu huyu Ban ki moon aliwahi kuwa gori kipa? naona kasimama ka kaseja
ReplyDeletewee annon unaesema "kavaa pazia" ~~~""***@@@--++@@@ kabisa,,,iyo misuti ya ulaya ndo nini utumwa mtupuuu wehu kbs,,wezenu wavaa mavazi yako kiasili
ReplyDelete