Home
Unlabelled
haki na wilna vekesheni bagamoyo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Sio tunasikia Wilna aka Willy kaoa dada wa Haki Ngowi...heheheh Lily kazi kwako
ReplyDeleteooh ok asante kwa kuwarusha...huyo bwana Haki Ngowi na Trafiki wtu wa usalama wa barabarani enzi hizo..
sasa wanarushwa ili iweje?michuzi sikuelewei
ReplyDeletewatu wengine bwana. Sasa we anony wa 2:19 ambacho huelewi nini? kama humuelewi si ule kona, umelazimishwa kusoma blog hii? Blog = web log. it is a personal log/diary, na mwandishi ana uhuru wa kuitumia atakavyo yeye ili mradi havunji sheria. Usipopenda yaliyomo humu fungua blog yako na wewe. Hii ni blog ya jamii; inaweka mambo yahusuyo jamii kuanzia habari za ndani na nje na pia taarifa za wadau aka wanajamii wanapokuwa ktk vakesheni, wanakula nondo, etc
ReplyDeleteMfano kwa kina Michuzi wanaopenda 'vakesheni' nje ya nchi wakati hata bongo unaweza ukaenjoy big time. August mwaka huu nilikuwa hotel moja pale bagamoyo na familia yangu kwa siku mbili cha kushangaza baadhi ya huduma za wafanyakazi wa hotel zilikuwa tofauti kati yetu na wanazopewa wazungu nadhani kwa sababu tulikuwa tunaongea kiswahili. Tujaribu kuwa wakarimu kwa watu wote as longer as wanalipa sawa na watu wengine awe mtu mweupe au mweusi, ndio maana taifa kubwa duniani limemchagua mtu mweusi awe raisi wao mambo ya kumthamini mtu kutoka na rangi yake yamepitwa na wakati.
ReplyDeleteMdau UK
mczobi nadhani hii commenti nimemuelekezea michuzi sio wewe, swali hujaulizwa wewe,umejibu,ukiulizwa utajibu nini? KULA KONA UKO
ReplyDeleteyes Wilna got marrried to a girl named Jema Kimbu recently ,she is working with Easy Finance, is she haki Ngowi's sister? she is beautiful Ngowi do you have another sister i would like to be your in law too
ReplyDeleteHawa nao ndo wale walioiba fedha za BOT sasa wako vekesheni. walienda kuzirudisha na kusikilizia kama majina yao nayo yamo. heeeeeeeeeeeeeeee.
ReplyDeleteduh uyu jamaa (haki)anahamasisha walhali vile,,,basi tuuu
ReplyDelete