Home
Unlabelled
jumuiya ya italy yapata viongozi wapya
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hivi Chibiriti pamoja na heka heka lundo hivi kumbe hana kitu huko Italy?!! Sisi tulitegemea angalu angepata ukatibu mwenezi wa huko!
ReplyDeleteChibiriti vipi! Au jamaa wa Roma na Napoli wameji-organise wakakusahahu? Maana tungekuona hata kwenye picha star wetu. Tunasikitika sana na huu uchaguzi na hatuutambui kabisa! Ni wa kifisadi kabisa
ReplyDeleteBendera yetu ni alama ya nchi yetu; itundikwe vizuri!
ReplyDeleteitaly imedoda sikuizi ITALY enzi zetu bwana enzi za kubamiza mzigo kwa makiro,
ReplyDeletewatu mmechokaaaa ile mbaya.
vipi ile caffee ya napoli ya kibongo bado ipo? HIDAYA ajambo? na pale kwa wa ethiopia Roma train station vipi? pale ndo palikuwa penyewe kwa mitikasi.
enzi zetu tulikuwa hatuna time ya mikutano watu ni kuvaaaaaa mavalentino na kuspend pesa mkutano? unga tungebamiza saa ngapi?
mmekosa mitikasi poleni.
dada halima ,mambo ya jangwani girls na akina chiku, zuhura na wengineo.nawakumbuka sana . mdau wa azania , enzi hizo 1983-85
ReplyDeleteLakini mlivyotundika bendera ya nchi yetu sio right
ReplyDeletenext time jaribuni kuiweka inavyotakiwa
Bi Halima Mwevi (Mrs H. Kasongo) inachanganya?
ReplyDeleteMICHUZI NA WADAU WOTE
ReplyDeleteANGALIA PICHA YA 2,3,4 NA 5 UTAONA JINSI GANI BENDERAYA TAIFA INAVYOFANYIWA UFISADI. INWEKWA JUU CHINI CHINI JUU.
HIYO BENDERA KILA RANGI INA MAANA YAKE NA IMEWEKWA HAPO KWA SABABU ZAKE. KIJANI JUU, UTEPE WA NJANO NA MWEUSI KATI NA BLUU CHINI. SIO MUWEKE MNAVYOTAKA NYINYI.
MAENEO MENGI HUONA BENDERA IKIFANYIWA VITUKO VYA KUGEUZWA GEUZWA. NADHANI KUNA HAJA YA WADAU KUREKEBISHA HILI. KAMA HAMNA UTAALAMU SI VIBAYA KUULIZIA KWA WATU WA SHEREHE NA MAPAMBO. KUMBUKA KUWA BENDERA NI IDENTITY YA TAIFA.
PILI NASHANGAA KWA NINI MDAU MWENYE MAKEKE, BARAKA WA CHIBIRITI ASIPEWE JAPO MWEKA HAZINA. NADHANI ANASTAHIKI KUFIKIRIWA JAPO POST NDOGO ILI ACHANGIE KATIKA UMOJA HUO.
MICHUZI NA WADAU WOTE
ReplyDeleteANGALIA PICHA YA 2,3,4 NA 5 UTAONA JINSI GANI BENDERAYA TAIFA INAVYOFANYIWA UFISADI. INWEKWA JUU CHINI CHINI JUU.
HIYO BENDERA KILA RANGI INA MAANA YAKE NA IMEWEKWA HAPO KWA SABABU ZAKE. KIJANI JUU, UTEPE WA NJANO NA MWEUSI KATI NA BLUU CHINI. SIO MUWEKE MNAVYOTAKA NYINYI.
MAENEO MENGI HUONA BENDERA IKIFANYIWA VITUKO VYA KUGEUZWA GEUZWA. NADHANI KUNA HAJA YA WADAU KUREKEBISHA HILI. KAMA HAMNA UTAALAMU SI VIBAYA KUULIZIA KWA WATU WA SHEREHE NA MAPAMBO. KUMBUKA KUWA BENDERA NI IDENTITY YA TAIFA.
PILI NASHANGAA KWA NINI MDAU MWENYE MAKEKE, BARAKA WA CHIBIRITI ASIPEWE JAPO MWEKA HAZINA. NADHANI ANASTAHIKI KUFIKIRIWA JAPO POST NDOGO ILI ACHANGIE KATIKA UMOJA HUO.
Hongera Mrs. Kassongo - Zk
ReplyDeleteKWeli yak ifisadi hata chibiriti hayupo hivyo ndio vikao vya njaa kutafuta fedha tu zakuwachukulia watu. sasa tutasikia mpaka Iraq pia viongozi wetu ila bora hawak uliko wale wauza unga.
ReplyDeleteDuuuuuuu wazee wa Italy hao (ya joka italio) mbona hawafanani na watu wa mtoni utazania picha Ya watu wa Tunduma au Makambako ..wachovu na wamepauka kiasi hicho kweli Sie wabongo tunatia aibu jamani ...
ReplyDeleteYaani mtu unakaa Italy(European fashion heart ) hata nguo za seli na viatu huwezi kununua au ndiyo mambo yetu ya kutumia hela vizuri ili ukajenge kibanda chako Bongo poleni sana salamu zake B.Lusikoine naona kaamua kumshikia bango Obama....
Mdau wa Muleba
Naona wameiweka bendera vizuri lakini aliyeishona ndio hakufuata vipimo vizuri ndio maana ikaonekana kama iko squire na iko wrong...lakini ukiangalia rangi za majani zipo juu na bahari
ReplyDeleteHeri wenye moyo kama wa Abdulrahaman maana wataitwa wana wa kujenga umoja wa Watz- Italia.
ReplyDeleteOle wao akina Maina na timu yake wanaotafuta kuunda matawi ya CCM maana hizo nguvu zao zinatakiwa huku Tz badala ya ughaibuni Uingereza.
WADAU NAPENDA MJUE KUWA HUYU MTU KIBIRITI SI CHOCHOTE HUKU NA HAKUNA MTU ANAEMJUA.WALA HANA CONTACT NA UMOJA WA KITANZANIA. SASA WADAU MNAOMJUA HUYO KIBIRITI MWAMBIENI AWASILIANE NASI KWA SABABU KWELI TUNAPENDA WATU KAMA HAO WANAOWEZA KUCHANGIA MAWAZO.
ReplyDeletekuhusu bendera kweli wadau hayo yatafanyiwa kazi .ahasanteni sana kwa hilo.siku ya uchaguzi kulikuwa na tensheni sana ndo maana hata wakuu hawakushtukia lakini tutawafahamisha.halafu huyo mdau kuwa watu wamechoka unashangaza sana wewe inaonekana hujui kuchoka.pole sana kumbe wewe bado unaushamba wa kuvaa,huku watu wamekinai na wanavaa kutokana na shughuli sio kuvaa tu.
ReplyDeletemdau wa nov 20 5.37 acha kusema wauza unga walisaidia TZ nchi ilijaa vimini bass wao ndo walikuwa wakwanza kusaidia TZ kwenye mambo ya usafiri na magari makubwa ya mizigo.
ReplyDeleteilikuwa wakirudi fresh ilikuwa ni kula raha tuu ukizingatia enzi zile maisha yalikuwa magumu
mpaka nguo za thamani ilikuwa hamna bongo mpaka uwe na ndugu ulaya ndo uta hambulia vya thamani.
wewe 11/21 12:34 pm unasema chiribiti si chichite huko and at the same time unataka awasiliane na nyie. AAAAAGGGRRRRRR sasa kama si chochote wewe una muhitaji wa nini.......??????? msione mtu anajulikana na kupewa sifa zake lazima mtafute mahali pa kumkata mguu.....
ReplyDeleteChibiriti simfahamu in personal but it seems to be a very nice and a funny guy to be around ndio maana watu wa hapa kwenye michuzi blog tunampenda. Sasa kama huko kwenu si chochote huku kwenye michuzi blog ni mtu tunayempenda.