Home
Unlabelled
kidaraja kuunganisha machinga complex
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
MMh, haya, hako kadaraja!!! tusubiri kukabwa na vibaka hapo. Sijui!!!
ReplyDeleteMzee wa Zain,asante kwa kutupa habari za jiji letu kongwe,kweli bongo tambarare,wasiwasi wangu ni "parking",miundombinu ya maji taka/maji safi (mvua ikinyesha kidogo tu hapo ni bahari) je vimezingatiwa? Na upanuzi wa barabara za kuingilia hapo? Maana hapo mahala pana foleni mbaya kutokea pande zote (iwe Chang'ombe,Ilala kwa Kandoro,Ilala au Shaurimoyo)! Mkuu wa wilaya ya nanihi wakumbushea wakuu wenzako wa jiji hayo yazingatiwe?
ReplyDeleteWe annon Nov 16: 11:56 issues za parking si kubwa kuliko zingine. Kwanza wewe una gari gani la kushindwa ku-park wenzako wanapo-park?! Acha uzushi wako. rudi bongo achana na box hizo.
ReplyDeleteKinyesi hata ukienda India kuna mito na mabwawa ya sewage. Bado wanaendelea. Ndiyo maana bidhaa ya India au China ni cheap kuliko ya EU. Eu lazima i-comply na standards zote ikiwemo ISO zote mbili.
Miundo mbinu, wewe umekaa uko ulaya juu ya box unasubiri zamu ya kulisuma ndani, unadhani nani atakutengenezea hiyo?
Wadau naomba mnifahamishe hapo ni Ilala sehemu gani? maana kila nikiskuti sipati jibu kwani nimeondoka Ilala kitambo kidogo
ReplyDeleteHapo ni Ilala karibu na uwanja wa Karume.
ReplyDeleteKIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.
Mwenzetu huwa hurudi nyumbani likizo? Au mambo hayajakaa sawa, pole.Wenzio huwa tunarudi kila tukipata likizo.
ReplyDeleteHapo Balozi umetupiga fix.Ha!! kwani leo tarehe ngapi? isije ikawa tarehe 1/4. Hiyo barabara imekatiza wapi, Uwanja wa Karume au kwa Makofia?
ReplyDeletewewe unayesema unarudi nyumbani kila likizo acha porojo unaishi kigali? Taja jina tukulumbue hata mbwembwe mtu kauliza mpe jibu hujui funga domo
ReplyDeleteJENGO HILI LIKO MTAA WA LINDI NA KAWAWA ILALA. HTA HIVYO HAINGII MTU HUMO NDANI ZIPO SABABU TELE ZILIZOANDALIWA IKIWA KUBWA ZAIDI NI ILE WATEJA WENGI WAKO CHINI HIVYO UWEPO UTARATIBU WA KUHAKIKISHA KUWA WAPITA NJIA WANAPANDA GHOROFANI, SI UNAJUA TUNAVYOJUA KUDEKA NA UCHAGUZI SI HUO UNAKUJA.
ReplyDeleteMichu,hivi majuzi nilisoma mahala flani kwamba baadhi ya wahandisi wa ujenzi walieleza wasiwasi wao kuhusu usalama wa jengo hilo,hususan wembamba wa korido zake na ngazi.Je ina maana ushauri huo wa kitaala umepuuzwa au ndio tunamtega Mwenyezi Mungu?
ReplyDeleteHiyo barabara imekatiza yalipokuwa makaburi ya Wajapani (imejengwa double-road kuunganisha barabara za Uhuru na Nyerere). Licha ya kwamba barabara hiyo imejengwa juzijuzi na hapo kwenye picha imeonekana vizuri, lakini barabara hiyo imejaa mchanga mwingi, ni chafuutadhani ina miaka 10. Wasi wasi wangu ni kwamba muda si mrefu tutaanza kushuhudia mashimo japokuwa sina hakika kama hayapo.
ReplyDeleteIwe machinga complex kweli, sio tukute maduka makubwa makubwa ambayo tayari yana majina mjini
ReplyDeletenaona annony wa 10.52 ndiye uliyeuliza swali maana ume panic ile mbaya na bila shaka umejilipua kurudi kwenu huwezi ,huo ndio ukweli. Mbwembwe siachi na jina sitaji.
ReplyDeleteRudini nyumbani nyinyi mnaona deal sana kupiga BOX huko kwa watu mtafikiri mabeki tatu......Bongo tambarare sana tu.
ReplyDeleteLobaaaaa ni wakati wa loba za mbao kunako darajani hapo.
ReplyDelete