Uongozi wa Jumuiya ya Watanzania Wanaoishi Nchini Japani unapenda kuwakumbushawatanzania wanaoishi Tokyo na maeneo ya jirani kuwa ule mkutano wa watanzania wote utafanyika kama uliyotangazwa hapo awali yaani tarehe 30/11/2008 katika ukumbi wa Odakyusasagamihara huko Kanagawa-ken kuanzia saa kumi jioni.
Tunawaomba watanzania wote kuhudhuria kwa wingi ili kuweza kujadili masuala mbalimbali muhimu yanayotuhusu wote tunaoishi Japani
Ahsanteni
Uongozi wa Jumuiya ya Watanzania Wanaoishi Nchini Japani

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Kama mtu wa hapo Japan Anamjua bwana ISSA SHUNDA, naomba aniandikie tafadhali. ephraim34@yahoo.com

    Asanteni.

    Wasalaam

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...