Hi! Mkuu,
wakati kesi ya Ngoma Africa na Baba wa kambo bado hipo kwa hakimu mteuzi!
mkuu wa wilaya ya Tageta Issa Michuzi, zogo zilimezidi kutanda kila kona za ughaibuni!
kuwa wimbo huo umeanza kutoa cheche !yaani kesi inaendelea lakini walalamikaji ngoma africa wanafanya kelele nje ya mahakama
tembele

baba-wa-kambo-the-ngoma-africa-band/#comments

Kusikiliza kesi hiyo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. Kesi hii naona kaka msipu ni kubwa mno,tena wamekutafutia soo kubwa!
    sijui hitakuwa vipi?

    ReplyDelete
  2. vichaa wa ngoma africa wanatisha!!!!te!te! sasa hii kali ya kufungia mwaka,ras makunja kamatia uzi huo huo na madongo yako.

    ReplyDelete
  3. uwembe ule ule ulimnyoa mama kimwaga sasa umemgeukia baba wa kambo? kazi mnaijua

    ReplyDelete
  4. ras makunja!!!hapa umetafuta baraha lingine tena? madongo yako
    hauna hata uruma? unamzomea baba wa kambo kwa nini?

    ReplyDelete
  5. tabia yenu mbaya ya kuwazomea wakubwa!tena tabia hii milisha onywa na mjomba wenu msondo mkasema mmekoma !sasa leo mbona mnarudia?

    ReplyDelete
  6. unajua ras makunja!mambo yako haya
    watu yanatuacha hoi,yaani usione jambo ukalimezea lazima itakuwa hoja tena yene nongwa

    ReplyDelete
  7. jamani ngoma africa bila adabu
    mnaleta mzozo mahamani!wakati kesi yenyewe ndio kwanza inasomwa!
    hakimu mkuu wa Tageta!kwanza mhukumu huyu ras makunja wa kuleta zogo mahakamani na adhabu yake achapwe viboko 12 makalioni,hili siku ingine hawe na nidhamu mahakamani

    ReplyDelete
  8. Ngoma Africa nadiriki kuwahita kuwa ni vijana wanao jitaidi kuhurudisha mziki wa dansi katika enzi zake za kutisha,kwa mdundo wao na tungo zake nawapa Big Up!
    kwani umefanikiwa
    kazeni buti

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...