Home
Unlabelled
wadau wa makumira wabwia nondozzz
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Ehe Mola tusaidie tubadilike kitabia na kimitizamo maana unaona mada nyeti kama hii watu wanapita kama mshale hawataki hata kusema 'hongereni' lakini ingekuwa ni wahitimu toka jumba lenye utatanishi- BBA pasingetosha hapa!
ReplyDeleteEnyi Wahitimu nawapa hongera na kuwatakia uwajibikaji wenye ufanisi na uaminifu popote mtakapokuwa makazini au ktk kuongeza elimu zaidi.
hongereni sana wana wa makumira university..mjue ya kwamba nyie mna soko kubwa kuliko wenzenu wa Dar es salaam aka Mlimani.. sababu nyie mmesoma modules zote, sio wale wanaomaliza nusu ya muda wao nyumbani kwa kufukuzwa sababu ya migomo. Waaajiri naomba tuwape nafasi hawa vijana kuliko wale wa kugoma goma.
ReplyDeleteKadogoo original
huyu kadogoo mi nlisoma ile hadithi yake na nikamuona mtu wa maana, ila haya anayoendelea kuandika napata wasiwasi kama yale tuliyoyasoma ni ni kweli. i mean kwamba yy ni mtu mwenye shahada kadhaa za kitaaluma. yaani hafanani na mawazo yake. msomi kama yule alivojieleza hawezi kuwa mropokaji tu kila wakati. anyway, get life dada!
ReplyDeletemadau, Aalborg Denmark
We anon wa pili, ukumbuke elimu ya juu haitegemei mwalimu bali mwanafunzi. Unaweza kumaliza modules zoote na ukawa bomu tuu, japo kumaliza mudules ni plus. Hujawahi kuona wale watu wanafaulu maswali ya topic zisizofundishwa dasarani, sorry darasani? Sie wa mlimani hukabidhiwa modules na kujifua wenyewe.
ReplyDeletenyie wa mlimani hamna credibility, masomo mengine yanahitaji lab na personal assistant kutoka kwa lecturer, nyie mnagoma nani atawasaidia sasa? mimi ninakampuni yangu ya It database, kwa sasa natafuta database analyst, moja ya vigezo ni kuwa na degree lakini siyo ya mlimani. na prefer waliochukua nondo majuu au makumira au DIT, au mzumbe.
ReplyDeletesorry mate, endeleeni na migomo mtalijua jiji.
makasi