Tamasha la fiesta jirambe 2008 jana usiku ilikuwa ndio kilele chake rasmi kwa wakazi wa Zenj,ambapo umati wa watu ulijitokeza kwa wingi katika uwanja wa Mao Tse-Tung uliopo Michenzani kuwashuhudia wasanii mbalimbali wakitumbuiza katika tamasha hilo jana usiku.Pichani ni msanii wa muziki wa kizazi kipya Bushoke akiwakumbusha washabiki wake baaadhi nyimbo zake ukiwemo ule wa barua.Kwa picha zaidi ya tamasha hilo ingia michuzijr.blogspot.com
Home
Unlabelled
wana wa kizenj wakunwa na pazia la fiesta usiku
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Kweli yakhe! Kule kwetu umefika sana. Twashukuru kwa kutuletea Fiesta. Karibu tena yakhe
ReplyDeleteCheki wenyewe walivyotulia kama wanaangalia sinema vile.Usiniambie ilikuwa poa kivile coz hapo sioni uhai.
ReplyDeletePeople of DSM na Mwanza ndo wanajua kuparty!
marekebisho madogo tu uwanja wa Mao Tse-Tung haupo michenzani upo kikwajuni au kwa jina jengine ni kiski
ReplyDeleteMichuzi,
ReplyDeleteHawa waliohudhuria hapa almost ni watu kutoka Tanganyika au wazanzibara ambao wamevinjari kuona milka na silka za watu wa Zanzibar zinapotea kabisa ili shetani atawale Zanzibar. Wanataka kuizima Nuru ya Allah kwa vinywa vyao na matendo yao. Lakini inshallah na sisi tutahakikisha hilo litashindikana kwa uwezo wa Allah.
Ndio ukaona sherehe zote za ubilisi na ushetani zinaletwa Zanzibar.
We anon November 16, 2008 6:50 PM
ReplyDeleteacha ubaguzi. Unaleta ubaguzi hata kwenye matamsasha!!Umeona dili sana huko zanzibar? hamna lolote nyinyi kila kitu mnategemea kutoka bara, kuanzia nyanya,mboga nk.
Unaletea mambo ya udini hapa??
Ushindwe na tena ulegeee
mabo ya usheitwani na uilisi waletwa zenji??? wee annon una maluhani nini???
ReplyDeleteivi mashoga na wasagaji wako wapi??afu watu wengine kujiona wako peponi aya hama basi uende paradiso
hahahahhaaaaaa
eti zenji "watakatifu"duh kazi ipo na hii tanganyika/zanzibar(pemba na unguja)